Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,596
- 1,236
Tutake radhi sisi tunaotowa kodi kwa Taifa!unakunywa hisia za ulevi zikikolea unaanza kuirect tartiiiiiiiiiiiibu.
radhi.Tutake radhi sisi tunaotowa kodi kwa Taifa!
Tutake radhi sisi tunaotowa kodi kwa Taifa!
Imepokewa na tutaendelea kuchangia kodi kwa kugida sana!radhi.
Tushamsamehe unajuwa kwetu sisi tukishalala tunangoja ugomvi wa kesho , wa leo umekwisha!Hebu mwambie, maana tukigoma siku mbili tu nchi iko matatizoni
manywaji mema wakuu msisite kuwafaidisha na wale wanaowahudumia iwe kwa kipato na mtunda kama karoti na matango ikiwa watayahitajiImepokewa na tutaendelea kuchangia kodi kwa kugida sana!
Tushamsamehe unajuwa kwetu sisi tukishalala tunangoja ugomvi wa kesho , wa leo umekwisha!
manywaji mema wakuu msisite kuwafaidisha na wale wanaowahudumia iwe kwa kipato na mtunda kama karoti na matango ikiwa watayahitaji