dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,475
- 2,078
Bado,Ushapata ile Milioni 10 ya udalali?
Nipo kwenye mchakato lakini.
Vipi, Hilo swala linakutoa Udenda Ee,?
Bado,Ushapata ile Milioni 10 ya udalali?
Saaaafi.Bado,
Nipo kwenye mchakato lakini.
Vipi, Hilo swala linakutoa Udenda Ee,?
Usiandikie mate mimi mwenyewe sina cheti na nimeendesha gari tangu 1996 sijasababisha ajali. Leo mipumbafu inaanza kukuhoji cheti?.hadi wabunge, wakurugenzi na mapolisi waandamizi wana leseni za mezani. nusu ya madereva hawana cheti
Sasa unawmabia afande kuhusu COET wakati yeye alifeli form 4 mzee ugomvi wake utakua si wa nchi hii
Brother nasimamia UE ujue, acha kunichekesha hadi wanafunzi wakose concentration.Tatembea na cheti changu cha chuo B.Sc na A-Level PCM trafic akiniuliza namwonesha hivyo vyeti kisha namuuliza "Kwa akili yako bwana afande nawezaje kufaulu PCM na BSc tena ya COET afu nikafeli kwenye driving school?" kisha namwambia use your common sense, nawasha gari nafunga vioo naondoka.
Nyaraka ya serikali huwa ina namba ya kumbukumbu yaani reference number, mfano PF3, sasa hii sidhani kama ni nyaraka ya serikali na sidhani kama ina haki kisheria kutumikaNaomba kufahamu kwa mwenye uelewa kama ni kwa gari za biashara, mabasi ya mikoani au wote View attachment 819360
taasisi ya elimu lazima isajiliwe na nacte au tcu sasa hizi driving school uhalali wake ukoje? mbona nikiangalia katika list ya nacte sioni hata kimoja? uhalali ukoje kunilazimisha kusoma katika taasisi isiyokuwa na sifa?Tatembea na cheti changu cha chuo B.Sc na A-Level PCM trafic akiniuliza namwonesha hivyo vyeti kisha namuuliza "Kwa akili yako bwana afande nawezaje kufaulu PCM na BSc tena ya COET afu nikafeli kwenye driving school?" kisha namwambia use your common sense, nawasha gari nafunga vioo naondoka.
hivi hao waalimu wa driving school wamesomea wapi? duce wana diploma in driving education? Prof Ndalichako atueleze hao walimu wa driving school anawafundishia wapi? je wanazo teaching license? utaniambiaje nikafundishwe na mtu asiyekuwa na sifa ya kufundisha?kama itahusu madereva wote i bet 90℅ hawajaenda chuo na kama hao wote magari yakiwa grounded it means anguko kwa wauzaji wa mafuta concequently Yohana nae atakosa mapato. Cheti sio sababu ya kutokea au kutotokea kwa ajali.... hii serikali imejaa viazi mviringo tupu yaani kutwa kuwaza pumba tuu...
Jaribu ulale rumande kesho mahakamani kwa makosa ambayo hata wewe utashangaaTatembea na cheti changu cha chuo B.Sc na A-Level PCM trafic akiniuliza namwonesha hivyo vyeti kisha namuuliza "Kwa akili yako bwana afande nawezaje kufaulu PCM na BSc tena ya COET afu nikafeli kwenye driving school?" kisha namwambia use your common sense, nawasha gari nafunga vioo naondoka.
maswali ya kijinga sana, leseni nimeipata tra na nilihakikiwa trafik, hao NIT si ndio wanaendesha kozi za wiki mbilimbili? asitutishe na magwanda yake kwanza kule jkt nilikuwa na OG kali kuliko zake na nilikuwa nabeba LMG japo haikuwa na risasi,Kamanda na shangazi kwa ufafanuzi View attachment 819545View attachment 819546
kwani Lumande kuna mbuzi pekee? haya mambo yakutishiana lumande mtukome,Jaribu ulale rumande kesho mahakamani kwa makosa ambayo hata wewe utashangaa