Hii form ya traffic inamhusu nani

Hii form ya traffic inamhusu nani

Njoeni mtaani maana madereva wengine hawana akili kutokana atakuta mvua inanyesha kunavidimbwi akimuona mwenda kwa miguu anapitisha gari lake nia yake mwenda kwa miguu alowe tu.
wakishakagua watuwekee ndonya usoni ili wakituona wajua tushakaguliwa,
 
Hivi kweli cheti cha chuo cha udereva ndo kinapunguza ajali? Je na hivyo vyeti vikinunuliwa?

Hili zoezi litaleta usumbufu mkubwa kwa wasafiri na linaweza kusababisha migomo ya madereva wa abiria.
Nakazia litasababisha uchumi kudorora pia litaongeza rushwa kwa wahusika
 
Taasisi zilizopewa mamlaka ya kuendesha mafunzo ya wiki mbili mbili ya udereva ndo zichukuliwe hatua na si vinginevyo
 
Nakazia litasababisha uchumi kudorora pia litaongeza rushwa kwa wahusika
wanatengeneza fursa mpya naweka barabarani coaster kali yenye kiyoyozi inakuchukua home hadi ofisini ukimaliza kazi unatupigia tunakuja kukuchukua hadi home, mbona school bus zinawabeba watoto mlangoni? mfano ppf tower unaweka coaster ya kusambaza wafanyakazi nauli elfu tano mbona unapiga hela ya maana
 
wanatengeneza fursa mpya naweka barabarani coaster kali yenye kiyoyozi inakuchukua home hadi ofisini ukimaliza kazi unatupigia tunakuja kukuchukua hadi home, mbona school bus zinawabeba watoto mlangoni? mfano ppf tower unaweka coaster ya kusambaza wafanyakazi nauli elfu tano mbona unapiga hela ya maana
Sasa kuwapata wote in a group ndio issue...
destination pia zinatofautiana
 
Back
Top Bottom