Smartbeing
JF-Expert Member
- Apr 7, 2014
- 323
- 425
Naomba kufahamu kwa mwenye uelewa kama ni kwa gari za biashara, mabasi ya mikoani au wote
Wote hila wanaanza na gari za abiria kwanza kukaguaNaomba kufahamu kwa mwenye uelewa kama ni kwa gari za biashara, mabasi ya mikoani au wote View attachment 819360
Unless uwe unaondoka kuelekea kwa fundi nguo kushona shati kama la Lugola kama siyo hivyo utaleta mrejesho.Tatembea na cheti changu cha chuo B.Sc na A-Level PCM trafic akiniuliza namwonesha hivyo vyeti kisha namuuliza "Kwa akili yako bwana afande nawezaje kufaulu PCM na BSc tena ya COET afu nikafeli kwenye driving school?" kisha namwambia use your common sense, nawasha gari nafunga vioo naondoka.
hehe na bili uliweka kwa bwashehe ili ukae vimbwetani kwa raha....Tatembea na cheti changu cha chuo B.Sc na A-Level PCM trafic akiniuliza namwonesha hivyo vyeti kisha namuuliza "Kwa akili yako bwana afande nawezaje kufaulu PCM na BSc tena ya COET afu nikafeli kwenye driving school?" kisha namwambia use your common sense, nawasha gari nafunga vioo naondoka.
Sasa unawmabia afande kuhusu COET wakati yeye alifeli form 4 mzee ugomvi wake utakua si wa nchi hiiTatembea na cheti changu cha chuo B.Sc na A-Level PCM trafic akiniuliza namwonesha hivyo vyeti kisha namuuliza "Kwa akili yako bwana afande nawezaje kufaulu PCM na BSc tena ya COET afu nikafeli kwenye driving school?" kisha namwambia use your common sense, nawasha gari nafunga vioo naondoka.
Tatembea na cheti changu cha chuo B.Sc na A-Level PCM trafic akiniuliza namwonesha hivyo vyeti kisha namuuliza "Kwa akili yako bwana afande nawezaje kufaulu PCM na BSc tena ya COET afu nikafeli kwenye driving school?" kisha namwambia use your common sense, nawasha gari nafunga vioo naondoka.
Ushapata ile Milioni 10 ya udalali?Kwahiyo Unamaanisha Ukiwa na Sifa kama zako hizo ulizozitaja hapo juu bila shaka unauwezo wa kujua na kufanya vizuri/kufauli Eneo lolote la taaluma nyingine?
Fikira za uchovu wa Akili za kiasi gani hizi!
Wahandisi wenyewe ndio nyie mnaotuachiaa Miradi 'disposable' Kila Uchao?
Wish you had gone to school contrary to,
'To-the-school' as you did.
HahahahahahaSasa unawmabia afande kuhusu COET wakati yeye alifeli form 4 mzee ugomvi wake utakua si wa nchi hii
Unless uwe unaondoka kuelekea kwa fundi nguo kushona shati kama la Lugola kama siyo hivyo utaleta mrejesho.
