Hii foleni mbona balaa!

Hii foleni mbona balaa!

1380173_663695180322511_429949816_n.jpg
 
Hizi ni dalili kuwa tutaanza kufikiri. Ndio, si tumegoma kufikiri.
 
Nimetoka morocco saa 11 na nusu mpaka sasa sijafika mwenge, ndio kwanza sayansi

Shida nafikiri ni haka kamvua kasikokatika. Nipo peke kwenye gari cjui nipitie sinza nikadake kamalaya kanisindikize mpaka tegeta mana ubaridi huu halafu home niko alone, Lara 1 upooo ?
 
Traffic nao wamegoma maana leo wamekosa mapato ya daladala! No offense intended
 
msijali,kuna container 500 za baiskeli toka china ziko njiani,hili tatizo litaisha soon
 
Traffic nao wamegoma maana leo wamekosa mapato ya daladala! No offense intended

Mpwa Elli jiandae kesho lazima nikupige mkono na hako kagari kako ili nipate mapato....lol
 
Last edited by a moderator:
Shida nafikiri ni haka kamvua kasikokatika. Nipo peke kwenye gari cjui nipitie sinza nikadake kamalaya kanisindikize mpaka tegeta mana ubaridi huu halafu home niko alone, Lara 1 upooo ?

kabla hujapata hiyo kampani hebu washa AC usijepata pnemonia asee
 
Du mungu wangu ...Nchi imekwama ..baada ya drama za waziri wa kazi ..wiki Tatu tu mbele mgomo unajirudia ..Nchi ya zimamoto ..naona safari Hii hataviongozi wamegoma
 
Nadhani leo wale wabahili wa kununua petrol wamewasha dinga zao na kuongeza uwingi wa magari barabarani
mvua inaweza kuwa factor ya ongezeko la foleni.
Gari zilizotakiwa kutembea saa tisa zinatembea na hizi za saa 12.
Tarajia kukuta mbaya wako ndani ya nyumba!:glasses-nerdy:
 
Hii foleni ya leo hatari, tangu 4:34 hadi muda huu 8:18 naoupost huu ujumbe nipo posta tu
 
Trafik wanalipwa posho yao na Dala Dala,kwa fee inayoitwa Dambwe, unapoona traffic anajituma sana kuongoza magari tambua anayo hesabu yake ya kutwa kutokana na makosa madogo madogo ya dala dala( huwa hazikosi makosa)
Leo kuna mgomo wa Dala dala ,je motisha kwa trafiki itoke wapi na mvua hizi.
hata wewe kama huna faida na bidhaa yako motisha utapata wapi,au kwa wale wa posho za per diem na makalio allowance,motisha haiji kama hamna bahasha,
sasa viongozi watalijua jiji kwa mgomo huu
 
Chomoa tire za gari ndio suluhisho utawahi fika
 
Back
Top Bottom