mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
​daladala zimegoma na foleni bado ndefu........mnnnnhhhhhh, kweli nchi imeendelea kwasababu ya wingi wa magari
Mimi kutoka MIKOCHENI mpaka Mbagala nimetumia zaidi ya masaa matano. Cha kufurahisha kuanzia k wa Azizi Ally mpaka Mtongani tulianza kutanua njia Sita mpaka upande wa pili wa barabara, yaani vurugu lililokuwepo sijawahi kuona
Lakini mbona hilo jambo ni simple, ambalo linahusu policy making pekee.
Hivi kuna tatizo gani kuintroduce mfumo ambao utazicategorize daladala kwenye classes?
Kwa mfano class X ya daladala ikawa inatoza nauli ya hivi sasa ya shilingi 600 kutoka Kimara hadi Posta, lakini ikawa haina limitation ya abiria inaowabeba.
Lakini pia ikawa introduced class Y ya daladala ambazo zitakuwa zinatoza 1,500 per trip kutoka Kimara hadi Posta, kakini daladala hizo zikapewa condition za kubeba abiriria level seat na mabasi yao yakawa na AC.
Mbona hilo linawezekana kwenye Hotel Industry?
Ukienda Serena Hotel au Kilimanjaro Hyatt, bia ile ile inayozalishwa na TBL pale Ilala ambayo 'uswazi' utainywa kwa kutozwa 2,300 lakini bia hiyo hiyo ukiingia Serena au Kilimanjaro Hotel utainywa kwa 5,000 na hakuna mtu anayelalamikia hiyo difference kubwa ya bei kwa kunywa the same brand ya bia.
Hebu watunga sera wetu waintroduce hiyo kitu kwenye Transport Industry waanze kushuhudia 'muujiza' mkubwa utakaotokea kwenye foleni jijini Dar.
Haahaaa mkishafika dar mnaona kuwa mmemaliza. Mie long time kitambo nipo hapa labda nikuulize wewe unaeona usafiri wa public haufai, una miaka mingapi toka uje dar? Uliwahi ona ekarusi kumbakumba za dar enzi ya UDA legendary.
Lakini mkuu bado ukaona priority Kwako ni smartphone baada ya kudunduliza ununue japo kwa vitz
It's very true, kinachotuponza sana hapa bongo ni watu kutaka kuonyesha zaidi status zao kuwa wana self drive.
Mbona kwenye nchi za wenzetu zilizoendelea sana kiuchumi, kama vile Scandinavian countries, asilimia kubwa ya wakazi wa majiji makubwa ya huko, plus wale wenye uwezo wa kumiliki magari ya bei mbaya, wanatumia Public transport za nchi hizo za mabasi na train?
Sasa hapa TZ mtu aliye nazo ukimweleza atumie public transport, ataona unataka ushushe status yake, wakati bila kujua kwa kuwa hizo private cars ndiyo zinazokuwa zimefurika mabarabarani, ambazo most of the time unakuta kwenye gari nzima yumo yeye peke yake anayedrive gari hiyo, unakuta anapoteza masaa kadhaa humo barabarani.
Ni vyema kama waTZ tutakuwa na nia ya dhati ya kuondoa traffic jam hapa jijini Dar, itabidi na mindset zetu ni lazima zibadilike, za kujua kuwa the only permanent solution za foleni za mabarabarani ni kuimarisha public transport na wakazi wa jiji hili waprefer kutumia public transport badala ya private cars zao.
Kama fikra hizo hazitabadilika vichwani mwetu, hata huo mradi wa BRT utakapoanza, hautaleta muarobaini wowote na bado adha ya foleni ya magari itakuwa haijawa solved hata kidogo.
Watembea kwa.miguu na wenye magari ngoma droo
Hahahahaa sijui kwanini nimechelewa kuiona hii, leo nimekaacha nimemuachia Wifi yako aendee sokoni, mie nimetembea kwa miguu ili niweze kupata "mchepuko" LolMpwa Elli jiandae kesho lazima nikupige mkono na hako kagari kako ili nipate mapato....lol
"Evava",umenifurahisha sana.Mchepuko umpataye ukiwa kwa miguu ni mzuri zaidi ya umpataye ukiwa unatumia "hirizi ya mzungu".Halafu pia ni rahisi kufanya "assessment" ya ubora wa mchepuko.Hahahahaa sijui kwanini nimechelewa kuiona hii, leo nimekaacha nimemuachia Wifi yako aendee sokoni, mie nimetembea kwa miguu ili niweze kupata "mchepuko" Lol