Hii foleni mbona balaa!

Hii foleni mbona balaa!

Kutoka ocean road mpaka aga khan nimetumia masaa manne (4) , foleni ya leo ni kiboko
 
Nadhani leo wale wabahili wa kununua petrol wamewasha dinga zao na kuongeza uwingi wa magari barabarani

Hata hivyo inawezekana mkuu.
Leo nilitoka kwa kujinafas kisa hakuna madaladala so nikajua hakutakuwa na folenu walai nilichokutana nacho siamin
 
Hata hivyo inawezekana mkuu.
Leo nilitoka kwa kujinafas kisa hakuna madaladala so nikajua hakutakuwa na folenu walai nilichokutana nacho siamin

mwenyewe nimeshangaa sana asubuhi nimekuta foleni kuanzia jogoo mbezi, nimechelewa kidogo kutoka nikajua nitateleza tu
 
Kumbe daladala hazisababishi foleni maana kuna mgomo lakini bado foleni kubwa
 
mwenyewe nimeshangaa sana asubuhi nimekuta foleni kuanzia jogoo mbezi, nimechelewa kidogo kutoka nikajua nitateleza tu

Ndio hapo sasa. Inaonekana daladala hazisababish folen basi.
 
Sasa faida ya gari kwa jiji la dar nini?!!? Au sifa.
It's very true, kinachotuponza sana hapa bongo ni watu kutaka kuonyesha zaidi status zao kuwa wana self drive.

Mbona kwenye nchi za wenzetu zilizoendelea sana kiuchumi, kama vile Scandinavian countries, asilimia kubwa ya wakazi wa majiji makubwa ya huko, plus wale wenye uwezo wa kumiliki magari ya bei mbaya, wanatumia Public transport za nchi hizo za mabasi na train?

Sasa hapa TZ mtu aliye nazo ukimweleza atumie public transport, ataona unataka ushushe status yake, wakati bila kujua kwa kuwa hizo private cars ndiyo zinazokuwa zimefurika mabarabarani, ambazo most of the time unakuta kwenye gari nzima yumo yeye peke yake anayedrive gari hiyo, unakuta anapoteza masaa kadhaa humo barabarani.

Ni vyema kama waTZ tutakuwa na nia ya dhati ya kuondoa traffic jam hapa jijini Dar, itabidi na mindset zetu ni lazima zibadilike, za kujua kuwa the only permanent solution za foleni za mabarabarani ni kuimarisha public transport na wakazi wa jiji hili waprefer kutumia public transport badala ya private cars zao.

Kama fikra hizo hazitabadilika vichwani mwetu, hata huo mradi wa BRT utakapoanza, hautaleta muarobaini wowote na bado adha ya foleni ya magari itakuwa haijawa solved hata kidogo.
 
Sasa faida ya gari kwa jiji la dar nini?!!? Au sifa.

Ushawahi kusimama kwenye daladala umeshika bomba kwa saa 2-3, hapo upo kwenye daladala yenye uwezo wa kubeba watu 25 lkn ndani wapo 40-50, huna hata pa kusogeza mguu? utaona ni nafuu uwe kwenye gari lako binafsi unakula AC, na unaweza chepukia njia nyingine, tofauti na daladala ambayo lzm ipite barabara husika.
 
It's very true, kinachotuponza sana hapa bongo ni watu kutaka kuonyesha zaidi status zao kuwa wana self drive.

Mbona kwenye nchi za wenzetu zilizoendelea sana kiuchimi, kama vile Scandinavian countries, asilimia kubwa ya wakazi wa majiji makubwa ya huko, plus wale wenye uwezo wa kumiliki magari ya bei mbaya, wanatumia Public transport za mabasi na train.

Sasa hapa TZ mtu aliye nazo ukimweleza atumie public transport, ataona unataka ushushe status yake, wakati bila kujua kwa kuwa hizo private cars ndiyo zinazokuwa zimefurika mabarabarani, ambazo most of the time unakuta kwenye gari nzima yumo yeye peke yake anayedrive gari hiyo.

Ni vyema kama waTZ tutakuwa na nia ya dhati ya kuondoa traffic jam hapa jijini Dar, na mindset zetu ni lazima zibadilike, za kujua kuwa the only permanent solution za foleni za mabarabarani ni kuimarisha public transport na wakazi wa jiji hili waprefer kutumia public transport badala ya private cars zao.

Kama fikra hizo hazitabadilika vichwani mwetu, hata huo mradi wa BRT utakapoanza na bado adha ya foleni ya magari bado itakuwa haijawa solved.

Kweli kabisa mkuu
 
Tanzania ina bahati mbaya sana kupata viongozi Hawa tulionao.
 
Mbona kwenye nchi za wenzetu zilizoendelea sana kiuchimi, kama vile Scandinavian countries, asilimia kubwa ya wakazi wa majiji makubwa ya huko, plus wale wenye uwezo wa kumiliki magari ya bei mbaya, wanatumia Public transport za mabasi na train.

Sasa hapa TZ mtu aliye nazo ukimweleza atumie public transport, ataona unataka ushushe status yake, wakati bila kujua kwa kuwa hizo private cars ndiyo zinazokuwa zimefurika mabarabarani, ambazo most of the time unakuta kwenye gari nzima yumo yeye peke yake anayedrive gari hiyo.

Ni vyema kama waTZ tutakuwa na nia ya dhati ya kuondoa traffic jam hapa jijini Dar, na mindset zetu ni lazima zibadilike, za kujua kuwa the only permanent solution za foleni za mabarabarani ni kuimarisha public transport na wakazi wa jiji hili waprefer kutumia public transport badala ya private cars zao.

Kama fikra hizo hazitabadilika vichwani mwetu, hata huo mradi wa BRT utakapoanza na bado adha ya foleni ya magari bado itakuwa haijawa solved.

Mkuu una mawazo mazuri sana kichwani kwako! Ila umesahau kwamba kinyesi cha mbuzi ni tofauti kabisa na cha tembo!

Hivi mkuu kweli maendeleo yaliyoko katika nchi ya Norway unaweza fananisha na Tanzania? Hili fupa baba! lilishamshinda fisi!

Nchi hii barabara inazinduliwa leo, Kesho eti ishakuwa na mabonde! Sababu nini? wajanja wajanja na makanjanja wamekula pesa za ujenzi!

Dala dala za bongo bwana, unaingia ukiwa smart, unatoka na kunguniiiii!... tusiongee sana! Mchawi wa mbongo ni mbongo mwenyeweee!
 
hapo daladala zimegoma, inaelekea kila mtu kachomoa gari lake leo
 
It's very true, kinachotuponza sana hapa bongo ni watu kutaka kuonyesha zaidi status zao kuwa wana self drive.

Mbona kwenye nchi za wenzetu zilizoendelea sana kiuchimi, kama vile Scandinavian countries, asilimia kubwa ya wakazi wa majiji makubwa ya huko, plus wale wenye uwezo wa kumiliki magari ya bei mbaya, wanatumia Public transport za nchi hizo za mabasi na train?

Sasa hapa TZ mtu aliye nazo ukimweleza atumie public transport, ataona unataka ushushe status yake, wakati bila kujua kwa kuwa hizo private cars ndiyo zinazokuwa zimefurika mabarabarani, ambazo most of the time unakuta kwenye gari nzima yumo yeye peke yake anayedrive gari hiyo, unakuta anapoteza masaa kadhaa humo barabarani.

Ni vyema kama waTZ tutakuwa na nia ya dhati ya kuondoa traffic jam hapa jijini Dar, itabidi na mindset zetu ni lazima zibadilike, za kujua kuwa the only permanent solution za foleni za mabarabarani ni kuimarisha public transport na wakazi wa jiji hili waprefer kutumia public transport badala ya private cars zao.

Kama fikra hizo hazitabadilika vichwani mwetu, hata huo mradi wa BRT utakapoanza, hautaleta muarobaini wowote na bado adha ya foleni ya magari itakuwa haijawa solved hata kidogo.

Mkuu,

Nchi unazozitolea mfano ni zile ambazo public transport ipo advanced kuliko unavyolinganisha na tanzania. Kwasasa public transport imekua na adha sana kiasi kwamba bora mtu akae kwenye gari lake.

Kubanana, kugombania usafiri, kukaa foleni, kusimama haya yote yanasababisha watu kukimbia public transport.
 
Kumbe daladala hazisababishi foleni maana kuna mgomo lakini bado foleni kubwa
Kiuhalisia foleni za 'kufa mtu' hapa jijini Dar hazisababishwi na daladala, bali inasababishwa na private cars.

Jaribu kuimagine familia ya watu 3 wenye 'nazo' ambao ni baba, mama na mtoto wao, wanaziingiza gari 3 barabarani, kwa baba kutoka na gari yake na mama naye kutoka na gari yake na mtoto wao naye kuondoka na gari yao, wakati kila gari ikiwa na 'abiria' mmoja tu na wote hao watatu wakiwa wanaenda eneo moja la kazi ambalo ni city centre!

Kiukweli familia za aina hiyo zipo nyingi sana hapa jijini na kiuhalisia ndizo zinazosababisha foleni kubwa sana jijini Dar, na ukweli huo umejidhihirisha hivi leo.

Kwa maana hiyo hata kama mradi wa mabasi ya mwendo kasi wa BRT uki take off, bado haitakuwa muarobaini wa kusolve tatizo hili sugu la foleni ya magari hapa jijini Dar, iwapo mindsets za wakazi wa Dar, zitaendelea kuangalia status zao binafsi badala ya kutoa kipaumbele kwa interest ya nchi.
 
Back
Top Bottom