AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
uchumi umekua sana
It's very true, kinachotuponza sana hapa bongo ni watu kutaka kuonyesha zaidi status zao kuwa wana self drive.
Mbona kwenye nchi za wenzetu zilizoendelea sana kiuchimi, kama vile Scandinavian countries, asilimia kubwa ya wakazi wa majiji makubwa ya huko, plus wale wenye uwezo wa kumiliki magari ya bei mbaya, wanatumia Public transport za nchi hizo za mabasi na train?
Sasa hapa TZ mtu aliye nazo ukimweleza atumie public transport, ataona unataka ushushe status yake, wakati bila kujua kwa kuwa hizo private cars ndiyo zinazokuwa zimefurika mabarabarani, ambazo most of the time unakuta kwenye gari nzima yumo yeye peke yake anayedrive gari hiyo, unakuta anapoteza masaa kadhaa humo barabarani.
Ni vyema kama waTZ tutakuwa na nia ya dhati ya kuondoa traffic jam hapa jijini Dar, itabidi na mindset zetu ni lazima zibadilike, za kujua kuwa the only permanent solution za foleni za mabarabarani ni kuimarisha public transport na wakazi wa jiji hili waprefer kutumia public transport badala ya private cars zao.
Kama fikra hizo hazitabadilika vichwani mwetu, hata huo mradi wa BRT utakapoanza, hautaleta muarobaini wowote na bado adha ya foleni ya magari itakuwa haijawa solved hata kidogo.
Ushawahi kusimama kwenye daladala umeshika bomba kwa saa 2-3, hapo upo kwenye daladala yenye uwezo wa kubeba watu 25 lkn ndani wapo 40-50, huna hata pa kusogeza mguu? utaona ni nafuu uwe kwenye gari lako binafsi unakula AC, na unaweza chepukia njia nyingine, tofauti na daladala ambayo lzm ipite barabara husika.
Nipo hapa morocco mataa kuna folen sijawahi kuona, naelelekea mwenge cjui nitafika saa ngapi
uchumi umekua sana
Mimi kutoka MIKOCHENI mpaka Mbagala nimetumia zaidi ya masaa matano. Cha kufurahisha kuanzia k wa Azizi Ally mpaka Mtongani tulianza kutanua njia Sita mpaka upande wa pili wa barabara, yaani vurugu lililokuwepo sijawahi kuonaKutoka ocean road mpaka aga khan nimetumia masaa manne (4) , foleni ya leo ni kiboko
uchumi umekua sana
Kwa hiyo lala moja mala....Shida nafikiri ni haka kamvua kasikokatika. Nipo peke kwenye gari cjui nipitie sinza nikadake kamalaya kanisindikize mpaka tegeta mana ubaridi huu halafu home niko alone, Lara 1 upooo ?
It's very true, kinachotuponza sana hapa bongo ni watu kutaka kuonyesha zaidi status zao kuwa wana self drive.
Mbona kwenye nchi za wenzetu zilizoendelea sana kiuchumi, kama vile Scandinavian countries, asilimia kubwa ya wakazi wa majiji makubwa ya huko, plus wale wenye uwezo wa kumiliki magari ya bei mbaya, wanatumia Public transport za nchi hizo za mabasi na train?
Sasa hapa TZ mtu aliye nazo ukimweleza atumie public transport, ataona unataka ushushe status yake, wakati bila kujua kwa kuwa hizo private cars ndiyo zinazokuwa zimefurika mabarabarani, ambazo most of the time unakuta kwenye gari nzima yumo yeye peke yake anayedrive gari hiyo, unakuta anapoteza masaa kadhaa humo barabarani.
Ni vyema kama waTZ tutakuwa na nia ya dhati ya kuondoa traffic jam hapa jijini Dar, itabidi na mindset zetu ni lazima zibadilike, za kujua kuwa the only permanent solution za foleni za mabarabarani ni kuimarisha public transport na wakazi wa jiji hili waprefer kutumia public transport badala ya private cars zao.
Kama fikra hizo hazitabadilika vichwani mwetu, hata huo mradi wa BRT utakapoanza, hautaleta muarobaini wowote na bado adha ya foleni ya magari itakuwa haijawa solved hata kidogo.
Hayo ni mashauzi tu. mtu nishasafiri siku tatu kwa kusimama ndo unaniletea visababu vya kizembe namna Hii. Hahahaa hii ni sawa na kumtishia Nuhu mafuriko ya jangwani.
Lakini mkuu bado ukaona priority Kwako ni smartphone baada ya kudunduliza ununue japo kwa vitzBinadamu tunashangaza sana. wewe uko ndani ya gari full kiyoyozi tayari uko Moroko unalalamika. mihela kibao unayo mfukoni. Mimi niko Kigamboni nakwenda Kawe kwa mguu na mvua hii na huko nilikopanga mwenye nyumba ananidai kodi.
Sasa mdogo wangu unalinganisha public transport za maulaya na huku kwetu, hiyo siyo haki hata kidogo.
Kwanza za wetu ni chafu pamoja na madereva na makonda wao kwa asilimia kubwa,
pili huwa zinajaza kupita viwango
tatu humo ndani ni wizi mtupu
Public transport za ulaya ni starehe hata ikibidi kusimama hamna pressure, unasoma kitabu chako au unafyeka iPad au simu yako kwa starehe zako, hebu jaribu kwenye za kwetu ukione cha mtema kuni!
Hasa tukimquote mkulu ambaye alisema anawashangaa wale wote wanaomcriticize kuhusu kauli yake na ahadi yake aliyoitoa mwaka 2005 kuwa atawaletea maisha bora kwa kila mtanzania, ushahidi unaonekana kwa kufurika kwa private cars jijini Dar!uchumi umekua sana
Hujui unachokisema wewe! there's no comfort kwenye daladala hasa public transport ya DSM. Hivi kwanza unaishi mji huu au umepewa story tu?
Lakini mbona hilo jambo ni simple, ambalo linahusu policy making pekee.Hujui unachokisema wewe! there's no comfort kwenye daladala hasa public transport ya DSM. Hivi kwanza unaishi mji huu au umepewa story tu?
Ukijiweza Dar bora ununue helikopta. Adha ya foleni utakuwa umefaulu kuikwepa.
Hayo ni mashauzi tu. mtu nishasafiri siku tatu kwa kusimama ndo unaniletea visababu vya kizembe namna Hii. Hahahaa hii ni sawa na kumtishia Nuhu mafuriko ya jangwani.