Daladala hazipo barabarani hata polisi hawaoni sababu ya kuongoza magari ili kupunguza foleni
Jiji limesimama!!!!!!!
hiyo kufika mwenge ni hadi saa 6 usikuNipo hapa morocco mataa kuna folen sijawahi kuona, naelelekea mwenge cjui nitafika saa ngapi
Nipo hapa morocco mataa kuna folen sijawahi kuona, naelelekea mwenge cjui nitafika saa ngapi
Nafuu wewe upo Morocco, mie nipo posta na naelekea mwenge yet ninamatumain ya kufika leo. Ni shidaaaaa
Nipo hapa morocco mataa kuna folen sijawahi kuona, naelelekea mwenge cjui nitafika saa ngapi
Baada ya daladala kugoma, matrafic hawajapata chochote leo, hivyo nao wamejimuvisha home. Nyie na mikebe yenu si mnawagia tope tu? Tangu saa 11:00 jioni gari zimesimama mahali pamoja hapa Posta.
Mkuu mimi nimepaki gari ofisini nikadaka bajaji now niko home
Ingekuwa daladala hazijagoma leo ungelala njiani.