Hii filamu ya Kichina TBC ni nzuri Sana !

Unajua jamaa anaonekana ana Mahela, na anamajigambo flani ya Kitajiri lakini akisahau anayaficha vizuri sana. Pale nadhani alitaka kuagiza yeye chakula lakini akakumbuka kua anatakiwa asijulikane kama ana Mahela.

Hehee halaf na mpenz wake akagonga hhhhaaaaaaaaaa wamependeza leo,sasa kaka jin karud migodini halaf kapokelewa na mwanamke mzurii nimesikitika kumuacha Shaukwaa
 
Mmejuaje?
Na mimi naipenda sana, nilikuwa naakikisha siikosi popote nilipo,Ila kwa jinsi ilivyoendelea jana naona kila kitu kimekamilika, Baba amerudi kijijini, Mwl wu amehama, Wan li amepata ujauzito, Chichi ameolewa, Mdada Xiaomia amepata kazi aliyoitaka. Rafiki ya Xiaomia amepata mpenzi(japo ndoto yake ya kuigiza haijakamilika), Naona inakwisha.
 
Na mimi naipenda sana, nilikuwa naakikisha siikosi popote nilipo,Ila kwa jinsi ilivyoendelea jana naona kila kitu kimekamilika, Baba amerudi kijijini, Mwl wu amehama, Wan li amepata ujauzito, Chichi ameolewa, Mdada Xiaomia amepata kazi aliyoitaka. Rafiki ya Xiaomia amepata mpenzi(japo ndoto yake ya kuigiza haijakamilika), Naona inakwisha.

Subiri leo tuangalie kama utabiri wenu Mtakua mmepatia. Ila ningependa kabla haija isha true identity ya Bonge anaejidai zuzu akiwa na Busara nyingi na Kuulamba kwa Kufa mtu, ijulikane kwanza. Mimi huyu jamaa ndio anaenifurahisha kuliko wote.

Mimi napenda sana Maisha ya MISTAKEN IDENTITY. Unakua free na unajua tabia za watu za ukweli.
 
Subiri leo tuangalie kama utabiri wenu Mtakua mmepatia. Ila ningependa kabla haija isha true identity ya Bonge anaejidai zuzu akiwa na Busara nyingi na Kuulamba kwa Kufa mtu, ijulikane kwanza. Mimi huyu jamaa ndio anaenifurahisha kuliko wote.

Mimi napenda sana Maisha ya MISTAKEN IDENTITY. Unakua free na unajua tabia za watu za ukweli.
Yap, niliona kuwa Bonge kuna kitu alikuwa anaficha, kwanza alisema yeye ni dereva tu, halafu akasema kuwa amefukuzwa kwenye nyumba aliyokuwa akikaa, halafu yeye na dada wa Jin Tai Lang wali-crush wakiwa wamevaa fulana sare,Ni kama alipanga vile.Aisee halafu ni kweli ukiwa na mistaken identity inafanya watu wakuraisishe kwa hiyo unapata faida sana nimeipenda hiyo.
 
Yap, niliona kuwa Bonge kuna kitu alikuwa anaficha, kwanza alisema yeye ni dereva tu, halafu akasema kuwa amefukuzwa kwenye nyumba aliyokuwa akikaa, halafu yeye na dada wa Jin Tai Lang wali-crush wakiwa wamevaa fulana sare,Ni kama alipanga vile.Aisee halafu ni kweli ukiwa na mistaken identity inafanya watu wakuraisishe kwa hiyo unapata faida sana nimeipenda hiyo.

hivi unafikiri yupo mbali basi.....
Mabiiibi na Mabwana namleta kwenuu Boongee a.k.a Zembe lenye busara

20130508020353883.jpg
 
Mama Shaomi Mcharuko. Ameshoboka kwa Jirani yake Mpya du! Sio mchezo.

Unajua mkuu mtu hata awe mtata kiasi gani akimpata mtu aliekuwa anatamani kuwa nae lazima achizi Hadi nikamuonea huru yule MAMA cz kapagawa bila kujua yule ndg km anafamilia au nivipi khaa,,,,!
 
Unajua jamaa anaonekana ana Mahela, na anamajigambo flani ya Kitajiri lakini akisahau anayaficha vizuri sana. Pale nadhani alitaka kuagiza yeye chakula lakini akakumbuka kua anatakiwa asijulikane kama ana Mahela.

Yaap,,hata mimi nilihisi hilo,,,!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom