Hii filamu ya Kichina TBC ni nzuri Sana !

Love is everywhere! There is always a thin line. Lakini Wadau huyu Bonge Shaweji anaonekana ana act life, anajisahau, inaonekana he is rich. Ule unusu utaahira wake ni wa kuekti tu. Anaonekana ni Tajiri na Mwenye Busara sana.
 
Unaiangalia eee Shaumi hataki hayo mahusiano et atapata aibu na mama Shaumi kafunguka kua anampenda kaka jin

Yaa leo na kesho nitaweza kuangalia. Nadhani nitamiss siku ya Jumatano peke yake.
 
Love is everywhere! There is always a thin line. Lakini Wadau huyu Bonge Shaweji anaonekana ana act life, anajisahau, inaonekana he is rich. Ule unusu utaahira wake ni wa kuekti tu. Anaonekana ni Tajiri na Mwenye Busara sana.

Kweliii ina maana anajifanya tu chizii alikua anampima huyo dada ili amuoe??umejuajee jee?
 
Kweliii ina maana anajifanya tu chizii alikua anampima huyo dada ili amuoe??umejuajee jee?

Anajisahau anajisifu uwezo wake alafu akishtukiwa anazuga kiaina. Mimi nilikua nikishangaa kuna taahira gani ana akili namna ile. Hata Mzee Jin amemkubali. Kama ni taahira asingekubali Mwanawe awe na uhusiano na Taahira. Halafu kama utamchunguza bonge anaulamba mbaya. You can see he is not what he acts to be. He is just looking for Love, a perfect woman to Love and Marry for who he is and not what he is.
 
Anajisahau anajisifu uwezo wake alafu akishtukiwa anazuga kiaina. Mimi nilikua nikishangaa kuna taahira gani ana akili namna ile. Hata Mzee Jin amemkubali. Kama ni taahira asingekubali Mwanawe awe na uhusiano na Taahira.

Yea ni kweliii hata leo kuna kitu kasema kuhusu kulipia chakula nikaona kabadili ghafla kua baba hapend tulipie hhhhhaaaaaaaaaa
 
Na hujiona mjanja sana,hapo.akivaa hivyo huenda kwa chichi

Huwa nacheka sana wanapokutana Mwl,,,wuu na Mama shaumi,,,dah,,!Jins mticha anavyokuwa na mzuka wakuongea lkn mama Anamtolea nje,,,! Ila kwenye chuki sana na Mapenz yanakuwepo kwa jins Mama shaumi na kaka JIN walipofikia daah,,,!
 
Anajisahau anajisifu uwezo wake alafu akishtukiwa anazuga kiaina. Mimi nilikua nikishangaa kuna taahira gani ana akili namna ile. Hata Mzee Jin amemkubali. Kama ni taahira asingekubali Mwanawe awe na uhusiano na Taahira. Halafu kama utamchunguza bonge anaulamba mbaya. You can see he is not what he acts to be. He is just looking for Love, a perfect woman to Love and Marry for who he is and not what he is.

Mkwara wake tangu mwanzo alijifanya huko ghorofa ya juu alikokuwa anakaa kafukuzwa kwahiyo kaenda kuomba hifadhi pale,,,! Kiukweli ile tamthilia ina mafunzo mengi sana Usimdharau usie mjua,,,!
 
Mkwara wake tangu mwanzo alijifanya huko ghorofa ya juu alikokuwa anakaa kafukuzwa kwahiyo kaenda kuomba hifadhi pale,,,! Kiukweli ile tamthilia ina mafunzo mengi sana Usimdharau usie mjua,,,!

Mkuu ni kweli! Hii tamthilia ina Mafunzo mengi Mazuri kuhusu Maisha ya kila siku ya Mwanadamu na Familia.
 
Naona Mzee Jin ameamua kurudi kijijini baada ya kusikia Maneno ya Shaomi juu ya uhusiano wa Mama yake na Mkwewe.
 
Mwl Huu kaja kwa Sukwaa kuleta zawadi ya picha maua na ndege mmoja kwenye tawi!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom