danhoport
JF-Expert Member
- May 20, 2020
- 1,607
- 3,194
Nipo pamoja na mleta mada na pia nipo pamoja na weweSafi sana mkuu umejibia hoja hii vema,watanzania hasa hawa middle class ni waoga wa kutake action,waoga wa push back na mashujaa wa kulalama humu,why wewe mtoa hoja hukusimama kidete kupinga unyanyasaji huu wa mtoto huyu,why hukujitolea na kumwambia konda kurudisha ile 500 tsh.halafu wewe umpe konda?,konda mmoja anasumbua wanaume zaidi ya 10 waliokuwemo kwenye daladala hiyo,sasa umetuwekea picha ya daladala ili iweje?