Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,367
Nmefikiria huyo askari alikuwa ktk Hali gani View attachment VID-20190121-WA0003.mp4
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli lakn mm na wewe hatujajua ni kiasi gani alipata Mateso mpaka kufikia kukubali kutamka Hayo maneno,Kijeshi kitendo cha kwenda kinyume na maagizo ya Amiri Jeshi Mkuu ni kosa na ni usaliti kwa Taifa. Pamoja na kutekwa na pengine kuteswa sana, lakini hakupaswa kusema au kuonyesha kwamba nchi yake ilikosea kupeleka wanajeshi Somali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijeshi kitendo cha kwenda kinyume na maagizo ya Amiri Jeshi Mkuu ni kosa na ni usaliti kwa Taifa. Pamoja na kutekwa na pengine kuteswa sana, lakini hakupaswa kusema au kuonyesha kwamba nchi yake ilikosea kupeleka wanajeshi Somali.
Sent using Jamii Forums mobile app
askari amesaini kufa, hivyo atekwapo na kuuawa ametimiza kiapo chake kwa uaminifuNiliiona leo asubuhi, hakika nilijisemea moyoni bora nisingeitazama kabisa.
Inasikitisha sana.
Al- shabaab hawa!
Sent using Jamii Forums mobile app
acha mihemko mkuu jamaa kaongea ukweli ambao masikio yako hayataki kusikia, askari amesaini kufa akiitetea nchi yake
Rufiji, Kibiti na Amboni Tanga hakukuwa na magaidi ule ni mchezo wa siasa tu. Huo mchezo unaitwa tengeneza tatizo halafu litatue, gaidi siri zao kama jasusi mpaka washambulie ndio huwaona wakijisifu.ni hatari sana!
Magaidi sio watu wazuri Ndio maana nawakubali sana wanausalama wa TZ kuumaliza ugaidi uliokuwa unaanza taratibu kure kibiti na rufiji
mtu akiwa na chembechembe za Ugaidi sio wa kuonea huruma hata kidogo
Unaandika usichokijua...Rufiji, Kibiti na Amboni Tanga hakukuwa na magaidi ule ni mchezo wa siasa tu. Huo mchezo unaitwa tengeneza tatizo halafu litatue, gaidi siri zao kama jasusi mpaka washambulie ndio huwaona wakijisifu.
Ndukiiiii![]()
Watu wa Rufiji, Kibiti na Amboni wakiona andiko lako hili watastaajabu.Rufiji, Kibiti na Amboni Tanga hakukuwa na magaidi ule ni mchezo wa siasa tu. Huo mchezo unaitwa tengeneza tatizo halafu litatue, gaidi siri zao kama jasusi mpaka washambulie ndio huwaona wakijisifu.
Ndukiiiii♂️
♂️
♂️
FactNi kweli lakn mm na wewe hatujajua ni kiasi gani alipata Mateso mpaka kufikia kukubali kutamka Hayo maneno,
Kikawaida kijeshi unapokuwa uwanja wa medani hutakiwi kumaliza risasi zote inapofikia hatua ya kutekwa ile risasi uliyobakiza unajimalizia mwenyew...
Ukitekwa lazma utafuata maelekezo ya watesi.. Hayo mambo yasikie tu lakn yasikukute... Maana yawezekana huyo Jamaa mpaka hapo hakuwa na baadhi ya viungo ambavyo hunyofolewa kwa prise, mkuki wa moto n. K
Sent using Jamii Forums mobile app