Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
kama ndivyo basi wameifanya fupi mno,hawana ubunifu kabisa maana hapo itatakiwa ukae zero distance na TVHyo ya kuunganisha Simu na TV yani ukiunganisha hapo kitu utakachokuwa unafanya kwenye Simu utakiona kwenye TV yako but make sure hyo TV ina port ya USB