Yep kaka mi mwenyewe naitumia kwanzia 2010 ni kiboko
kwa wanaotumia mozila,explorer nk ebu jaribu kutumia opera ni safi sana
kitu kama unatumia computer za mac ,safi sana wakuu hata katika kuwnload ni safi kabisa
nimeipenda sana mimi
Qq unajua kichina?
Sasa finally tuchague hipi maana hapa kila mmoja anasema ya kwake!!sasa sisi tunao wasikiliza mnatuchangaya jueni miruzi mingi ilimchanganya mbwa!!