Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
UWANGALIFU NA ABIRIA
UWANGALIFU NA ABIRIA
![]()
Thats why i love uudereva kwa daslam ni vita haswa..........sijui kwanini hakuna nidhamu barabarani jamani!!!
udereva kwa daslam ni vita haswa..........sijui kwanini hakuna nidhamu barabarani jamani!!!
Ungefika LAGOS dada yangu.........
![]()
mayoooo weeee............n'nini hiki jamani!!! kumbe tuna nafuu.........!
lakini hapana bwana, hata kama hao wako hivyo, tunatakiwa tuwe na nidhamu barabarani kama kanuni za udereva zinavyosema!
Tatizo 90% hapa Tanzania ni waendesha magari na sio madereva.....I HOPE YOU GET MY POINT