Hii Bongo Bado Kabisaaaa

Hii Bongo Bado Kabisaaaa

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
546634_390835634329066_1515597107_n.jpg
 
mbu kadoogo lakini kanavyoogopwa hako.ha ha ha mmmmmmbuuuu.
 
mbu kadoogo lakini kanavyoogopwa hako.ha ha ha mmmmmmbuuuu.




Halafu bahati mbaya zaidi ni kwamba tumeshindwa kabisa kukashinda haka kamdudu.Sijui tatizo liko wapi,au labda ni mradi wa watu wanaotengeneza vyandarua na dawa za malaria..?? Hainiingii akilini kabisa kuwa miaka nenda rudi haka kamdudu kameendelea kuwa kasumbufu wakati tunajua wapi kanazaliana, kanaishi vipi na mbinu zote za kukaangamiza tunazijua.Mbona wenzetu kule America wakati wanajenga Panama kanal waliweza kusimamisha ujenzi wa Kanal hiyo ili kukaangamiza kwanza haka kamdudu, sisi tunashindwa nini..??Halafu tunazungumzia maendeleo,maendeleo yapi wakati mdudu tu ametushinda na anapoteza nguvu kazi ya Taifa kila kukicha..
 
Halafu bahati mbaya zaidi ni kwamba tumeshindwa kabisa kukashinda haka kamdudu.Sijui tatizo liko wapi,au labda ni mradi wa watu wanaotengeneza vyandarua na dawa za malaria..?? Hainiingii akilini kabisa kuwa miaka nenda rudi haka kamdudu kameendelea kuwa kasumbufu wakati tunajua wapi kanazaliana, kanaishi vipi na mbinu zote za kukaangamiza tunazijua.Mbona wenzetu kule America wakati wanajenga Panama kanal waliweza kusimamisha ujenzi wa Kanal hiyo ili kukaangamiza kwanza haka kamdudu, sisi tunashindwa nini..??Halafu tunazungumzia maendeleo,maendeleo yapi wakati mdudu tu ametushinda na anapoteza nguvu kazi ya Taifa kila kukicha..
kaka hii dunia ina watu wapumbavu sana hapo katika uliyoyaeleza ndio majibu yenyewe hii ni biashara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom