Hii bodi ya TFF nashauri ijiuzulu baada ya ligi imetuchosha

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
52,099
23,626
Baada ya yanga kuchjkua ubingwa. Wa nbc

Nashauri hii bodi ichukue mda kujitafakari ijiuzulu tu
Wasione aibu kwa yale yalioendelea kwenye hii ligi huu mwaka n kichefuchefu

Pia mabosi wa waamuzi wote washauriwe kujiuzulu.

Tumechoka sana yaan marefa wanaingia na matokeo uwanjani na kukataa magoli then wanaondolewa kwenye ligi kwa mechi 3 mpaka 5 huu ni uhuni.

Tufike wakati tuchukue hatua za haraka kulinda ligi yetu.

Yaan inasikitisha majuzi kuona marefa wawili wanatuhumiwa kukataa magoli halali huu n uhuni hawa awajafanya kwa bahati mbaya kuna mikono ya watu.

Alafu unawaondoa kwemye mechi 5 za ligi huku timu kama zote zimebakiza mechi 2 mpaka 4 kumaliza ligi huu uhuni usiruhusiwe.

Watu wawajibike bingwa ashapatikana tutafute solution pls.
 
Refa kuchezesha ni sh laki 3 mechi 1, anahongwa kuanzia mil 3 halafu anafungiwa mechi 3 na kashawapa faida timu nyingine, ana hasara gani,heri kufungia leseni zao kwa hata miezi 6 kwa makosa ya wazi kuliko hii ya sasa hivi
 
Refa kuchezesha ni sh laki 3 mechi 1, anahongwa kuanzia mil 3 halafu anafungiwa mechi 3 na kashawapa faida timu nyingine, ana hasara gani,heri kufungia leseni zao kwa hata miezi 6 kwa makosa ya wazi kuliko hii ya sasa hivi
Duh like 3 tu aisè
 
mNAFANYA MTU KAMA MGUNDA PAMOJA NA YANGA KUCHUKUA UBINGWA ANASEMA ANA NATUMAINI SIMBA BINGWA AISEE
Simba lazima atakuwa bingwa, hatukubari tunakwenda FIFA Yanga imemchezesha Pacome akasababisha tufungwe 5, point zote za Yanga tunapewa sisi, kwa nini tusiwe na matumaini ya ubingwa?
 
Simba lazima atakuwa bingwa, hatukubari tunakwenda FIFA Yanga imemchezesha Pacome akasababisha tufungwe 5, point zote za Yanga tunapewa sisi, kwa nini tusiwe na matumaini ya ubingwa?
Kqbisaaampwaa
 
Kuna sababu kubwa kwanini hata siku moja huwezi kuwaona marefa wetu hasa wa kati wakichezesha mechi za michuano mikubwa ya kimataifa licha ya kuambiwa kuwa ligi yetu ni ya tano kwa ubora barani afrika.....

Wakati huo kuna marefa kutoka kwenye ligi duni na dhaifu sana
kama Mauritania na Gabon ndio wanaongoza kuaminiwa na CAF na kila siku tunawaona wakichezesha michuano mikubwa.

Kwa huu ujinga ujinga wa kuendekeza rushwa, ushabiki pamoja na uswahili uswahili mwingine hawa marefa wetu wataendelea kuchezesha mechi za NBC tu na mapinduzi Cup basiii. Fainali za caf wataendelea kuziona kwenye tv tu kama sisi mashabiki.
 
Back
Top Bottom