Hii boat iliishia wapi?

Hii boat iliishia wapi?

Huu uzi naona umenisaidia kujua new terminologies!!!! Kwa hiyo huko Russia bado hawajapata hizo spare au?

Tiba

Itakua bado au Ni ghali sana maana kimetengenezwa kwa madini aina ya psyncumiurania ambayo huchanganywa na fustrophyclonia.
 
Boti ipo jirani na bismarck rock..last time niliiona pale inaelea tu majini...walioko Mwanza wanaweza kuthibitisha..ikiwezekana na picha,najua kuna timu weka picha!
 
Nakumbuka hii ishu ya boti ilileta uhasama sana hadi mijahidina ikawa inatokwa povu et magufuli akuziruhusu zisipite kwenye barabara zetu kwa sababu mwenye boti Muislamu. Naye Magufuli akajitokeza bila kumung'unya mdomo na kusema ni yeye kasema hapana kama vp mniombee albadili[/QUOTE]

matako yako acha unafiki
 
Asante kwa kutufahamisha zilipo. Je unajua ni kwa nini hazifanyi kazi?

Tiba

Boti zimepaki hapo rockbeach toka 2009 jirani na ikulu.kuna kipindi nlikua mwz jion naenda kupaki rockbeach ikifika saa 12 utaona boti ndogo inaleta walinzi wa kulinda boti wanateremka then hiyo boti ndogo inaondoka kuelekea mwaloni.nliona c chini ya mara 5 hao walinzi wakiletwa kulinda,istoshe naona hizo boat ni mbovu ndio mana hazifanyi kazi tatizo c mawimbi mboga ngalawa inatoka bk mpka mwz hakuna shida
 
Nakumbuka hii ishu ya boti ilileta uhasama sana hadi mijahidina ikawa inatokwa povu et magufuli akuziruhusu zisipite kwenye barabara zetu kwa sababu mwenye boti Muislamu. Naye Magufuli akajitokeza bila kumung'unya mdomo na kusema ni yeye kasema hapana kama vp mniombee albadili[/QUOTE]

matako yako acha unafiki
Ukirusha jiwe gizan usikie sauti ujue limempata. ...fagusanubis dackbilded choroptra wewe
 
Inasemekana zile boti ilibidi zikatwe ili ziweze kupitia pia Mombasa sasa kufika Victoria zikawa hazina ubora ule ule zikawa zinaleta mushkeli

Yeah ni hili liliongelewa tangu mwanzo
 
Asante kwa kutufahamisha zilipo. Je unajua ni kwa nini hazifanyi kazi?

Tiba

Simple waliingia mkenge bila kufanya feasibility study ili kujua kujua operating cost vs revenue/income kama ni profitable matokeo yake mradi haulipi. Ndo hasara hizo Za poor investment !
 
Yaani wale wamiliki walikuwa wabishi tu, zile boat zisingeweza kupita lile daraja la train pale mbele mto Ruvu
 
Ndugu yangu nakushukuru kwa maelezo mazuri ambayo hayana terminology mpya kwangu. Kwa hiyo kwa lugha nyingine wamiliki walishindwa kurekebisha hizo kasoro ili ziweze kuendelea kutoa huduma? Kwa kumbukumbu zako, nani alikuwa ni mmiliki?

Tiba

mmiliki ni aliyekuwa mfazili wa simba miaka ya 90
 
Mkuu Tiba honestly speaking inawezekana hizo boti zilikuwa zinagusa maslahi ya baadhi ya viongozi kwasababu wenyewe wana vyao tayari ziwa victoria. Kwahyo inawezekana ni hujuma imefanywa tu kuzizima zipaki wao wapige pesa.
 
Last edited by a moderator:
mmiliki ni aliyekuwa mfazili wa simba miaka ya 90

Mkuu mbona unaogopa kumtaja? Au sheria mpya imeanza kukutisha? Ina maana unamsema Azim Dewji?

Tiba
 
Hiyo mkuu Ni model ya zamani nasikia wametoa nyingine hypstipistonicalist ambayo ilibuniwa na abysiankovic ambaye Ni mrussia.

Hizi teminology mpya naona zitaondoka na mtu maana zinavunja mbavu haswa!!!!

Tiba
 
Mkuu Tiba honestly speaking inawezekana hizo boti zilikuwa zinagusa maslahi ya baadhi ya viongozi kwasababu wenyewe wana vyao tayari ziwa victoria. Kwahyo inawezekana ni hujuma imefanywa tu kuzizima zipaki wao wapige pesa.

Inawezekana kuna jambo hapa kwani siamini kwamba mpaka leo wameshindwa kupata spareparts? Wangechukua sample wakaileta hapa gerezani mbona jamaa wangekuwa wameishaichangamkia siku nyingi.

Tiba
 
Simple waliingia mkenge bila kufanya feasibility study ili kujua kujua operating cost vs revenue/income kama ni profitable matokeo yake mradi haulipi. Ndo hasara hizo Za poor investment !

Mkuu nafikiri hii case ni zaidi ya tunavyokifiria. Inawezekana pia kwamba kuna mgogoro kati ya supplier na mnunuzi kuhusu quality ya hizo boat kwani zilianza kuchemsha mapema sana. Sidhani kama mnunuzi alishindwa kupata spareparts au kwamba alipiga hesabu za investment vibaya.

Tiba
 
Kwa hiyo kwa sasa hazifanyi kazi? Ni nini hasa kilisababisha hizi boat kupaki badala ya kutoa huduma iliyokusudiwa?

Tiba

aulizwe mzee pombekali magu..., kwani aliziwekea bit tangu hazijafika mwanza, ila zilitusaidia sana, unakwenda ukerewe ndani ya dk 45
 
Back
Top Bottom