Hii boat iliishia wapi?

Hii boat iliishia wapi?

Hivi ina maana Tanzania haina mtandao (online database) unaoonesha usajili wa vyombo vya usafiri wa angani, majini na nchi kavu?
 
Duh!!! sasa usiri wote huo wa nini...

Hivi vyombo vya usafiri vya umma vilipaswa kujulikana nyendo zake na watu wote wajue...

Mambo ya nchi kama manyau wakitaka kufanya matusi
 
Zipo mwanza sielewi fukwe gani lakini nikiwa naenda ukerewe naziona zimepaki,

Kwa hiyo kwa sasa hazifanyi kazi? Ni nini hasa kilisababisha hizi boat kupaki badala ya kutoa huduma iliyokusudiwa?

Tiba
 
Hizi boti ilikuwa zinaharibu biashara ya MV Victoria ambayo ilikuwa imemonopolaizi hiyo ruti ya bkb-mwanza,sasa na barabara zilivotengamaa soko la meli kati ya mwanza na bukoba likafa maana basi zipo kibao alafu confortable na cheap kabisa
 
Wadau,

Miaka michache iliyo pita, kuna boat ilinunuliwa na tajiri mmoja kufanya safari zake kati ya Mwanza na Bukoba. Boat hii ilileta gumzo kubwa kwani Magufuli kama waziri wa ujenzi alikataa hiyo boat isisafirishwe kupitia barabara zetu kutoka Dar kwenda Mwanza kwa madai ya kulinda barabara. Hatimae boat hii ilisafirishwa kupitia Mombasa na mwisho ilifika Mwanza na kuanza safari zake kati ya Mwanza na Bukoba.

Nani anayejua hii boat ilipatwa na nini na kwa sasa iko wapi?

Tiba

Hizi boti aka magofu zipo fukweni pale Mwanza pembeni mwa yale mawe maarufu kando na gate la ferry za kamanga na kwa mbali kidogo ni bandari ya Mwanza.
 
Hizi boti aka magofu zipo fukweni pale Mwanza pembeni mwa yale mawe maarufu kando na gate la ferry za kamanga na kwa mbali kidogo ni bandari ya Mwanza.

Asante kwa kutufahamisha zilipo. Je unajua ni kwa nini hazifanyi kazi?

Tiba
 
Hiko kifaa kiliungua baada ya kugonga mwamba unaoitwa frooktotostabolization mofatti

Upo sawa kabisa mkuu, na baada ya kukosekana kwa spare ya hicho kifaa ilibidi management iamue wazipak pale karibu na rockbeach hotel, na sasa zimegeuka breeding grounds za kenge aina ya hermaphroditocytoplasmopolitology kengeus wanaopatikana pale bismarck rock karibu na kivuko cha feri za kamanga.
 
Upo sawa kabisa mkuu, na baada ya kukosekana kwa spare ya hicho kifaa ilibidi management iamue wazipak pale karibu na rockbeach hotel, na sasa zimegeuka breeding grounds za kenge aina ya hermaphroditocytoplasmopolitology kengeus wanaopatikana pale bismarck rock karibu na kivuko cha feri za kamanga.

Ukiwa na stress njoo JF, utapumua tu hakuna jinsi. Hiyo aina ya kenge nimeipenda. Ngoja nimtaarifu mwanangu akafanyie research hao kenge.

Tiba
 
Asante kwa kutufahamisha zilipo. Je unajua ni kwa nini hazifanyi kazi?

Tiba

For what i know, baada ya kuletwa mwanza zilianza safari kama kawaida, ratiba ilikuwa kutoka mwanza saa 3 asbh mpk bukoba saa 9 mchana, nyingne ilikuwa inatoka kwa muda ule bkb, baadae ikawa saa 1, then saa 6 mza, thn saa 7, saa1 bkb, i mean go and return
Accidently ya kwanza ilipgwa na dhoruba kali kiasi cha kushndwa kufka kwa wakati, baada ya saa 6 za ratiba ikafka baada ya saa 10, (kumbuka kuletwa kwake kulitawaliwa na figisufigisu nyingi ivo iyo ikawa sababu ya kusimamishwa rasmi), boti ya pili ambayo iliendlea kufanya kazi ilipata tatzo la kuzimika injin ikiwa katikati ya ziwa siku moja mm nimetoka bukoba, ilibaki huko muda mwingi kuanzia asubuh saa 4, ilipata msaada saa 11, jion na abiria walifka mwanza saa 4, usiku, baada ya kuvutwa na mv ukerewe,
Baada ya pale boti zile zikasimamishwa rasmi tatzo jingn lilikuwa ni viwango vya nauli mfn kipindi icho nauli to bkb victoria ilikuwa
Daraja la tatu 8600
daraja la pil kukaa 10600
Daraja la pili kulala 12600
daraja la kwanza 23500
cabin ilikuwa 35000
Mabasi kipindi icho hayakuwa meng, mohamed trans na bunda ilkuwa arround 12000~15000
Wakati izo boti naul ilkuwa 23000~35000 kwa madaraja ya kwanza.
Kwa hiyo kwa namna fulan kuahrbka kwa boti izo ambazo tuliambiwa zitapunguza muda mwngi wa safari ilikuwa kama kujichimbia kaburi kwa wamiliki.
Kifupi kulikuwa na comftability ya hatari, zilisafiri mchana watu kupata raha na kuangalia mandhari ya ziwa victoria, tofaut na meri ambayo ufanya safari usiku, haikuwa tofauti na kupanda fastjet ukiachilia mbali suala la muda.
boti hizi pia zlipunguza muda wa safari kutoka saa 13 majini ( mv victoria) na saa 14-15 (mv serengeti) mpaka saa 6.
 
For what i know, baada ya kuletwa mwanza zilianza safari kama kawaida, ratiba ilikuwa kutoka mwanza saa 3 asbh mpk bukoba saa 9 mchana, nyingne ilikuwa inatoka kwa muda ule bkb, baadae ikawa saa 1, then saa 6 mza, thn saa 7, saa1 bkb, i mean go and return
Accidently ya kwanza ilipgwa na dhoruba kali kiasi cha kushndwa kufka kwa wakati, baada ya saa 6 za ratiba ikafka baada ya saa 10, (kumbuka kuletwa kwake kulitawaliwa na figisufigisu nyingi ivo iyo ikawa sababu ya kusimamishwa rasmi), boti ya pili ambayo iliendlea kufanya kazi ilipata tatzo la kuzimika injin ikiwa katikati ya ziwa siku moja mm nimetoka bukoba, ilibaki huko muda mwingi kuanzia asubuh saa 4, ilipata msaada saa 11, jion na abiria walifka mwanza saa 4, usiku, baada ya kuvutwa na mv ukerewe,
Baada ya pale boti zile zikasimamishwa rasmi tatzo jingn lilikuwa ni viwango vya nauli mfn kipindi icho nauli to bkb victoria ilikuwa
Daraja la tatu 8600
daraja la pil kukaa 10600
Daraja la pili kulala 12600
daraja la kwanza 23500
cabin ilikuwa 35000
Mabasi kipindi icho hayakuwa meng, mohamed trans na bunda ilkuwa arround 12000~15000
Wakati izo boti naul ilkuwa 23000~35000 kwa madaraja ya kwanza.
Kwa hiyo kwa namna fulan kuahrbka kwa boti izo ambazo tuliambiwa zitapunguza muda mwngi wa safari ilikuwa kama kujichimbia kaburi kwa wamiliki.
Kifupi kulikuwa na comftability ya hatari, zilisafiri mchana watu kupata raha na kuangalia mandhari ya ziwa victoria, tofaut na meri ambayo ufanya safari usiku, haikuwa tofauti na kupanda fastjet ukiachilia mbali suala la muda.
boti hizi pia zlipunguza muda wa safari kutoka saa 13 majini ( mv victoria) na saa 14-15 (mv serengeti) mpaka saa 6.

Ndugu yangu nakushukuru kwa maelezo mazuri ambayo hayana terminology mpya kwangu. Kwa hiyo kwa lugha nyingine wamiliki walishindwa kurekebisha hizo kasoro ili ziweze kuendelea kutoa huduma? Kwa kumbukumbu zako, nani alikuwa ni mmiliki?

Tiba
 
Ndugu yangu nakushukuru kwa maelezo mazuri ambayo hayana terminology mpya kwangu. Kwa hiyo kwa lugha nyingine wamiliki walishindwa kurekebisha hizo kasoro ili ziweze kuendelea kutoa huduma? Kwa kumbukumbu zako, nani alikuwa ni mmiliki?

Tiba

Wamiliki walikuwa wa huko zanzibar nafkiri, uendeshaji wake kwa ujumla na figisu za magufuri zlikuwa mwiba wa wamiliki, lakini pia inasemekan zililetwa mwanza km dumpng area baada ya kuonekana haziwezi mikikimikiki ya baharini ndo kuja zijaribiwe huku ziwani, instead mtu sasa hivi akaamua kuwekeza kwa hizo boti tuseme akaleta mpya zenye uhakika wa safari atapiga deal, serikali wameshndwa uendeshaji, meri mv victoria haifanyi kazi tangu mwaka jana october, kwenda nansio meri mbovu hazina quality, safari ya 60 au 90 mins unatumia 220 mins somtym mpk 250 mins, upuuzi ulioje
Istoshe nature ya watu wa huku bdo wana prefer usafiri wa majin kulko mabasi
 
Honestly speaking Tiba sijui

Inasemekana zile boti ilibidi zikatwe ili ziweze kupitia pia Mombasa sasa kufika Victoria zikawa hazina ubora ule ule zikawa zinaleta mushkeli
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom