Hii boat iliishia wapi?

Hii boat iliishia wapi?

Nakumbuka hii ishu ya boti ilileta uhasama sana hadi mijahidina ikawa inatokwa povu et magufuli akuziruhusu zisipite kwenye barabara zetu kwa sababu mwenye boti Muislamu. Naye Magufuli akajitokeza bila kumung'unya mdomo na kusema ni yeye kasema hapana kama vp mniombee albadili[/QUOTE]

matako yako acha unafiki

ivi iman/din yako bila matusi haiwezekan?na hapo wewe umesoma.je wasio soma wakoje?
 
aulizwe mzee pombekali magu..., kwani aliziwekea bit tangu hazijafika mwanza, ila zilitusaidia sana, unakwenda ukerewe ndani ya dk 45

Sasa hata kama ziliharibika, wameshindwa nini kuzifufua ili zipige mzigo?

Tiba
 
Sasa hata kama ziliharibika, wameshindwa nini kuzifufua ili zipige mzigo?

Tiba

mambo ya siasa dada tiba, hii yote ni siasa hii nchi bana, we unadhani zile meli zinazoenda bukoba, ukerewe na visiwa vingine, hao hao wanasiasa ndio wanaomiliki, kasoro mv victoria, lakini sijui nyehunge, sijui zile zinazokwenda geita, kome, zote ni za wanasiasa, manake hivi viboat viliua soko lao, vilipopata hitilafu mpaka leo naziona zinapendezesha ziwa victoria kama magugu maji
 
ndio maana namkuu kiongozi 1 wa jesho la polisi hapa tz alisema rais ajae awe dictator la sivyo tunakoelekea ni kubaya sana kwa kizazi cha watoto wetu na wajukuu, nadhani alimaanisha udictator utaanzia huko huko kwenye jumba jeupe manake hawa wameua nchi kabisa, we nchi gani hata ndege hatuna tunashindwa na zimbwabwe ambao njaa muda wote, wana midege mikubwa sisi hicho hicho kidash 8 tena cha mkopo siku wenyewe wakikasirika tunarudisha,
 
Kuna bwana mmoja aliwahi kuniambia kuwa boti moja ilihujumiwa, watu waliimiminia chumvi ingine ikafa!
 
Nakumbuka hii ishu ya boti ilileta uhasama sana hadi mijahidina ikawa inatokwa povu et magufuli akuziruhusu zisipite kwenye barabara zetu kwa sababu mwenye boti Muislamu. Naye Magufuli akajitokeza bila kumung'unya mdomo na kusema ni yeye kasema hapana kama vp mniombee albadili

Boti ile/zile (2) zilinunuliwa na kampuni moja ya Kisumu, Kenya. Wamiliki wa kampuni hiyo wapo karibu sana na ukoo wa Raila Odinga na mtu muhimu katika biashara hiyo alikuwa Magufuli, na ndiyo sababu ya urafiki wa Magufuli na Raila. Ingawa boti hizi zilidaiwa kuwa za Azim Dewji, habari hiyo si kweli. Dewji alikuwa mtu wa kati pamoja na Naibu Waziri wa Fedha kwa sasa Adam Malima. Vikao vya kupambana hadi boti ziruhusiwe vilikuwa vikifanyika nyumbani kwa Dewji, karibu na shule ya sekondari Tambaza.
Kuna uharamia mkubwa umefanyika kuhusu vyombo binafsi vya usafiri kwa upande wa Tanzania. Kwa mfano: Meli ya Mv Nansio iko wapi? Hii iliporwa na wakenya wa kampuni ya Mbita Ferries ya Kisumu, Kenya. Mwenye meli hiyo kahangaika kwa miaka kadha sasa bila usaidizi wowote wa serikali ya Tanzania. Kwa sasa naishia hapo, mengine baadaye...
 
labda tuanze kwa kuona picha ya boat husika wakuu.
 
Inawezekana kuna jambo hapa kwani siamini kwamba mpaka leo wameshindwa kupata spareparts? Wangechukua sample wakaileta hapa gerezani mbona jamaa wangekuwa wameishaichangamkia siku nyingi.

Tiba

Kama waliweza kununua boat watashindwaje kupata spares?
 
Back
Top Bottom