sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,163
Mimi naamini kabisa kampuni za betting zote duniani ni za mtu mmoja au system inayoongozwa na genge maalumu wanaoelewana. Na bet zote zinazofanyika zinaonekana kwenye system zao.
Nasema hivyo kwa sababu sports industry inalipa sana kuliko industry zote duniani, na wanajua kabisa kufanya blunder kwenye games wanapoona wabetiji wameelekea mfano kwa Manchester City, au kwa Arsenal au kwa Barcelona au team yoyote ambayo ina uhakika wa kushinda basi order inatoka kwa wachezaji au referee kulegeza ili kubadilisha matokeo la sivyo watapata hasara kubwa kuwalipa wabetiji. Haiwezekani team zote kubwa jana zife maana yake mikeka kibao jana imechanwa. Hivyo ndo ninavyoona. Huwa najiuliza hizo pesa za usajili na za kuwalipa wachezaji mabilioni zinatoka wapi nyingine kwa wabetiji.
Nasema hivyo kwa sababu sports industry inalipa sana kuliko industry zote duniani, na wanajua kabisa kufanya blunder kwenye games wanapoona wabetiji wameelekea mfano kwa Manchester City, au kwa Arsenal au kwa Barcelona au team yoyote ambayo ina uhakika wa kushinda basi order inatoka kwa wachezaji au referee kulegeza ili kubadilisha matokeo la sivyo watapata hasara kubwa kuwalipa wabetiji. Haiwezekani team zote kubwa jana zife maana yake mikeka kibao jana imechanwa. Hivyo ndo ninavyoona. Huwa najiuliza hizo pesa za usajili na za kuwalipa wachezaji mabilioni zinatoka wapi nyingine kwa wabetiji.