Hii bendi ilianza vizuri lakini sasa sijui inakoelekea

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,796
IMG-20170323-WA0007.jpeg

Wapo waliosema ni nguvu ya soda lakini mpaka sasa imekuwa sio soda tena imekuwa bia bado kama ni bia haijajulikana ni bia ya aina gani maana kadri siku zinavyoenda wasikilizaji na wachezaji wameanza kisikiliza na kucheza kila alieingia ukumbini ile furaha ya mziki hawaifurahii tena hapo sijui shida ni mziki mbovu au ni d.j ameweka mziki mpya zaidi watu hawauelewi,,
 
tatizo ni yule densa mkata viuno bila cheti ndio kaja kuharibu kila kitu!
Alfu amekatika viuno mno hadi ikawa kero kwa watizamaji na wasikilizaji maana badala ya kucheza vizuri kwenye jukwaa ameanza kutoka nje ya steji na kuanza kukanyaga washabiki
 
nimeota bashite kamwoa mtoto wa sizonje...

Ndio maana anatumia nguvu nyingi kumtetea ..

Mwee hz ndoto nyngne bwana?
 
nimeota bashite kamwoa mtoto wa sizonje...

Ndio maana anatumia nguvu nyingi kumtetea ..

Mwee hz ndoto nyngne bwana?
Kwa ndoto umetisha
View attachment 485557
Wapo waliosema ni nguvu ya soda lakini mpaka sasa imekuwa sio soda tena imekuwa bia bado kama ni bia haijajulikana ni bia ya aina gani maana kadri siku zinavyoenda wasikilizaji na wachezaji wameanza kisikiliza na kucheza kila alieingia ukumbini ile furaha ya mziki hawaifurahii tena hapo sijui shida ni mziki mbovu au ni d.j ameweka mziki mpya zaidi watu hawauelewi,,
 
Back
Top Bottom