Hii baridi, sio hili baridi

Jamaa mmoja nilimnasa vibao baada ya kuniambia, "leta funguo yangu". Baada ya kichapo hicho nikamuambia, unatakiwa kusema ufunguo wangu.

Hakukosea tena mbona!
Mimi nilivyokuwa clinical officer nilimtembezea mkong'oto wa haja mgonjwa flani mahabara alipokuja nakuniambia nimekuja kupima mavi. Baada ya kichapo nikamkumbusha asirudie tena kusema kupima mavi bali aseme kupima choo.

Nilimqindi kichizi.

adriz de mbusii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…