Electromagnetism
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 482
- 127
Habari zenu wana tech, Nilikuwa na maswali machache ambayo ningeomba ufafanuzi wake, kwanza Katika kusafirisha umeme mkubwa yani High voltage kuanzia 33 au 66KV tunaweka neutral? yani kunakuwa na conductor nne je neutral ya kazi gani pili katika umemw mkubwa kabisa kama 132kv ambapo tunatumia Metal tower au pylons kwa jina lingine nimekuwa nikiona conductors tano Naelewa pale tatu ni three phase je hizo mbili? kama ni neutral na earthing ipi kazi yake?