Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,745
- 2,338
Nina mashaka kama wewe hata umewai kuonja medical school na hivo Wewe hauwezi kunifundisha medicine, nimesoma medicine na nime train madaktari pia.Wewe mtu hebu msikie alishapiga sonography na akapewa maelezo halisi
Pancreatitis inaendana na umri pamoja na ulaji(kilaji) fumbua macho
Tatizo lenu mnaposoma shule mnaosoma kamama mama
Ingia physiology anda pathological effect of acid in the body utaelewa nilikuwa na maanisha nini
Kuambiwa una shida fulani hakuondoi kuwa na shida nyigine?
Yaani kuna na shida kwenye Gallblader hakuondoi kuwa na Pancreatitis.
Kwa taarifa yako tu....Kwa Tanzania Pancreatitis ina Cause mbili zinazoongoza.
1. Alcohol
2. Gall bladder stones.
Kwanza unajua Uwezo wa Sonography katika ku diagnose hayo magonjwa ya gallblader?