Surya JF-Expert Member Joined Jun 7, 2015 Posts 9,760 Reaction score 15,565 Jul 24, 2022 #1 Yani kanipikia chakula kitamu hivi kinoma ili kunionyeshea tu, anamakusudi sana huyu dada na anajua kabisa niko single. Yaani na kanipakulia kiasi sawa na njaa yangu kabisa nikamaliza nimeshiba vizuri navyopenda 😏😏
Yani kanipikia chakula kitamu hivi kinoma ili kunionyeshea tu, anamakusudi sana huyu dada na anajua kabisa niko single. Yaani na kanipakulia kiasi sawa na njaa yangu kabisa nikamaliza nimeshiba vizuri navyopenda 😏😏
Chupayamaji JF-Expert Member Joined Sep 19, 2017 Posts 5,780 Reaction score 13,684 Jul 24, 2022 #2 Kokojowe ulale.
fullcup JF-Expert Member Joined Jun 21, 2016 Posts 809 Reaction score 2,210 Jul 24, 2022 #3 Lala Kesho uwahi shuleni
Oppo A17k JF-Expert Member Joined Apr 1, 2020 Posts 993 Reaction score 3,007 Jul 24, 2022 #4 Natamani hata vyuo vifunguliwe kesho mrudi mlikotoka