Hiba ya wivu.....mtunzi ni nani?

Nakumbuka kitabu chenye hiyo title kilikuwa na simulizi ya kuvutia kuhusu mapenzi.
Wahusika wakuu wakiwa ni Faridah, Ihucha, Uncle Musa n.k. Eneo lililotajwa mara nyingi lilikuwa ni Mwenge kama sijakosea.
Hiki kitabu kinapatikana wapi jamani?
ZAINAB MWANGA
 
Back
Top Bottom