Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
ZAINAB MWANGANakumbuka kitabu chenye hiyo title kilikuwa na simulizi ya kuvutia kuhusu mapenzi.
Wahusika wakuu wakiwa ni Faridah, Ihucha, Uncle Musa n.k. Eneo lililotajwa mara nyingi lilikuwa ni Mwenge kama sijakosea.
Hiki kitabu kinapatikana wapi jamani?