HI

HI

Hakika hakuna aliye muweza zaidi ya Mwenyezi Mungu
 
Ee Bwana,toka vilindini nimekulilia.Bwana, uisikie sauti yangu.Masikio yako nayasikilize sauti ya dua zangu.
Bwana kama wewe ungehesabu maovu,Ee Bwana,ninani angesimama?+

Wewe ni zaid ya mshind!!
Jua wewe ni nani in Christ Jesus!! 2 Petro 2:9!!

Wewe ni zaidi ya unacho kipitia!!!
Kiri ushindi kwa Jina la Yesu!
 
Ee Bwana,toka vilindini nimekulilia.Bwana, uisikie sauti yangu.Masikio yako nayasikilize sauti ya dua zangu.
Bwana kama wewe ungehesabu maovu,Ee Bwana,ninani angesimama?+

...lakini kwaako kuna bwana...

Jamani umenikumbusha kwaya za skuli loools
 
Back
Top Bottom