PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Sifa zake: Haifananishwi na tv's nyingine hapa nchini.ina habari fipi kama muhustasari wa tv binafsi kama ITV,ina viongozi wenye nyodo na maringo utafikiri wanaongoza CNN AU BBC,ina baguzi wa wazi kabisa kwa vyama vingine vya siasa kama walivyo tuthibitishia kwa barua waliyo mwandikia Dr slaa katika uchaguzi wa arumeru.
Ndiyo chanel pekee duniani unayoweza kusikiliza tarifa ya habari huku ukipata muziki mwanaana ua umbea wote unaoendelea studio au radio nyingine bila chenga.
hi ndiyo tv yetu ya taifa inayo tumia kodi zetu na hizo ndizo nyodo zetu.
Ndiyo chanel pekee duniani unayoweza kusikiliza tarifa ya habari huku ukipata muziki mwanaana ua umbea wote unaoendelea studio au radio nyingine bila chenga.
hi ndiyo tv yetu ya taifa inayo tumia kodi zetu na hizo ndizo nyodo zetu.