ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Naamini hamjambo wote na jumamosi hii ni njema kwenu,kama una tatizo pole sana.
Ni kipindi kirefu sijamsoma Deo Nalimi Kisandu, nini kimempata yeye na kile chama chake kipya cha ACA?au mirembe wamemdaka?
Ni kipindi kirefu sijamsoma Deo Nalimi Kisandu, nini kimempata yeye na kile chama chake kipya cha ACA?au mirembe wamemdaka?