HABARI ZA KWENU??? Mi mzima kwa kweliiiii,samahani ndugu zangu hii mikopo inaanza kutolewa lini?? mi ni mwanafunzi wa mwaka wa 1 mahala fulaniiii..... KAMA NIMEKUUDHI,..........................
hawana siku maalumu ya kuipeleka mikopo vyuoni manake siku hizi system imebadilika,fedha zinaenda vyuoni direct
We jiandae na salio la kutosha kabla ya kuja chuo unaweza kuapta huo mkopo hata mwakani hawa majamaa sio kabisa
ar you sure?
we ni mshenz chuo kimekushinda una kuja kupoteza mda jf,you are so stupid! Huna wazo lolote,endelea na tabia zako za kishoga.
More than sure ni kitu nimeexperience kwa macho yangu mwenyewear you sure?