Ibrashinto
Senior Member
- Jul 3, 2012
- 123
- 6
Bado ni kitendawili kwa sisi tunaotegemea heslb hatujui ni namna gani tujipange wakati muda wa kureport chuo umesha wadia sasa kwa mtoto wa familia ya hali ya chini kama mim nifanyeje nimesha changanyikiwa!