heslb- kigezo cha shule sio!!

mama lubango

Member
Aug 16, 2011
56
8
moja ya cfa ya m2 ku2nukiwa mkopo ni kuangalia shule alizosoma mhusika frm primary 2 A level. Sasa kwa cc ambao 2mesoma shule lets say za matawi ya juu na kumbe behind ze scene 2likuwa 2nafadhiliwa & shule husika inakuwaje? c tutanyimwa bum ile hali cc ni mapeasant?! kwann bodi isizingatie tu data za kiuchumi za mzaz husika??! AU MI NIPO WRONG JAMAN????!
 
Hilo lisikuchanganye kabisa... ile mikopo naona wanatoa kwa njia ya listing of all wahusika na kuanza kuchagua kwa ku select jina kuruka lifuatalo... kuselect lingine kuruka lifuatalo and so on... For kama wangekua kweli wanatumia vigezo husika sidhani kama wale ambao wanahitaji more huo mkopo wangewekwa maybe grade 'C' hali mtu ambae ni wazi wana uwezo wa kujikimu na kujilipia ada saa ingine yupo grade 'A'... Hivo don't worry be happy.
 
Hilo lisikuchanganye kabisa... ile mikopo naona wanatoa kwa njia ya listing of all wahusika na kuanza kuchagua kwa ku select jina kuruka lifuatalo... kuselect lingine kuruka lifuatalo and so on... For kama wangekua kweli wanatumia vigezo husika sidhani kama wale ambao wanahitaji more huo mkopo wangewekwa maybe grade 'C' hali mtu ambae ni wazi wana uwezo wa kujikimu na kujilipia ada saa ingine yupo grade 'A'... Hivo don't worry be happy.
<br />
<br />
my God ndo mtindo wa ana anado!
 
moja ya cfa ya m2 ku2nukiwa mkopo ni kuangalia shule alizosoma mhusika frm primary 2 A level. Sasa kwa cc ambao 2mesoma shule lets say za matawi ya juu na kumbe behind ze scene 2likuwa 2nafadhiliwa &amp; shule husika inakuwaje? c tutanyimwa bum ile hali cc ni mapeasant?! kwann bodi isizingatie tu data za kiuchumi za mzaz husika??! AU MI NIPO WRONG JAMAN????!
<br />
<br />
kama ulikuwa unafadhiliwa si utaendelea kufadhiliwa? Kigezo cha shule ndo muhm kuliko vyote kwavile haiwezekani sekondar ulipe ada yd mil.2 ushindwe kulipa Mil.1 ya chuo.
 
moja ya cfa ya m2 ku2nukiwa mkopo ni kuangalia shule alizosoma mhusika frm primary 2 A level. Sasa kwa cc ambao 2mesoma shule lets say za matawi ya juu na kumbe behind ze scene 2likuwa 2nafadhiliwa & shule husika inakuwaje? c tutanyimwa bum ile hali cc ni mapeasant?! kwann bodi isizingatie tu data za kiuchumi za mzaz husika??! AU MI NIPO WRONG JAMAN????!
Pole... lakini mimi naona criteria hii ni nzuri kwa kiasi chake though inamapungufu.
Kwa system yetu ya elimu ilivyo.. asilimia kubwa ya privete schools wanalipa ada kubwa kuliko hata chuo!
Kama mtu aliweza kupata udhamini secondary school ambapo fees ni kubwa,, wanaasume pia ataendelea kupata udhamini huo chuo!
 
moja ya cfa ya m2 ku2nukiwa mkopo ni kuangalia shule alizosoma mhusika frm primary 2 A level. Sasa kwa cc ambao 2mesoma shule lets say za matawi ya juu na kumbe behind ze scene 2likuwa 2nafadhiliwa &amp; shule husika inakuwaje? c tutanyimwa bum ile hali cc ni mapeasant?! kwann bodi isizingatie tu data za kiuchumi za mzaz husika??! AU MI NIPO WRONG JAMAN????!
acha uhuni katika uhandishi wako kwa ushakuwa mkubwa.
 
Pole... lakini mimi naona criteria hii ni nzuri kwa kiasi chake though inamapungufu.
Kwa system yetu ya elimu ilivyo.. asilimia kubwa ya privete schools wanalipa ada kubwa kuliko hata chuo!
Kama mtu aliweza kupata udhamini secondary school ambapo fees ni kubwa,, wanaasume pia ataendelea kupata udhamini huo chuo!
na hawa ccm wanaotumia makalio kufikiria inabidi waondoke kwanza ndio kitaeleweka
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kama ulikuwa unafadhiliwa si utaendelea kufadhiliwa?
<br />
<br />
nitaendeleaje kufadhiliwa & shule ya secndry ile hal nipo chuo? je kama shule ilkuwa inanifadhl kwa interests zake bnafs & sasa sipo ktk shule yao wataendelea kunifadhl ili iweje? tumia logic japo kdogo
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
nitaendeleaje kufadhiliwa &amp; shule ya secndry ile hal nipo chuo? je kama shule ilkuwa inanifadhl kwa interests zake bnafs &amp; sasa sipo ktk shule yao wataendelea kunifadhl ili iweje? tumia logic japo kdogo
<br />
<br />
kwan we ulikua husomi kwa malengo?
 
we usomeshwe shule ada mil 3 afu ushindwe kujilipia coz ya sh 1.5mil kwa mwaka?
Na hata kama ulikuwa unafadhiliwa kwani huyo mfadhili wako alikusomesha miaka kibao kwa mihela lukuki atashindwa kukulipia hiyo kidunchu?
Acheni kulialia bhana, hiyo facta mi naona ina mater zaidi.
 
Kigezo cha kuangalia shule ulizosoma kimekaa poa.Kwa sababu waki2mia kigezo cha kaz za wazaz,applicants wengi wamedanganya kuwa wazaz wao ni peasants hata kama wapo mataw ya juu.SO kigezo cha xul uliyosoma ndo mpango mzima.
 
kigezo cha kuangalia xul ndo mpango mzma coz mtoto wa mapizant hawez enda xul kama feza yan namanisha atakaye kwenda xul kama hyo ni mtoto wa fogo
 
Kigezo walichotumia bodi cha kuangalia shule aliyotoka mtu ni nzuri kwa sababu mtu mwingine toka primary amesoma xul za gharama na zenye ubora ambazo ni zaidi ya 1mil na aliweza kuhumudu lkn cha kushangaza chuo anakuja kupata mkopo 100% but ambae amesoma kwa shida tena kwenye shule ambazo hakuna ubora wowote{e.g xul za kata} lkn anapunjwa mkopo au kukosa kabisa. Wana Jf tukisema mambo yaende hivyo tutajikuta wasomi walio wengi ni wenye nazo.Kwa kigezo walichotumia bodi kwa upande flani italeta matumaini kwa watu walisoma kwa shida na hatimaye kupata wasomi mbalimbali ambao ni muhimu ktk maendeleo ya taifa letu la Tanzania.
 
Back
Top Bottom