till nw watu hatujui tumepata asilimia ngapi japo majina tumeshayaona kupitia pdf za watsup. kwenye ku apply pia ilisumbua mtu umelipa lakin account haifunguki wengine control no unapata baada ya siku kama tatu kupita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.