nimenununua transaction id kwa mpesa toka ijumaa tar.14/06.
Mpaka sasa sijafanikiwa kujisajili.......nifanyaje na siku ndo izo zinakata na tar.24 naenda jeshi
nisaidie wandugu
nili2miwa mkuu
Endelea kujaribu tu mwisho utafanikiwa.ndo iyo nimeweka afu naambiwa ID does not exist,nisubiri after 2hrs..na nimenunua ijumaa
Vuta subira kijana. Kijana wangu naye ilikuwa hivyo hivyo. Tulisubiri baada ya siku2 ikakubali. Ni matatizo ya mtandao kati ya Mpesa na Bodi katika kuipeleka hiyo ID yako! Vile vile tumia pc kwavile mwisho utatakiwa kuprint hard copy ambayo utaituma kwa EMS!
Nimenununua transaction ID kwa mpesa toka IJUMAA tar.14/06.
mpaka sasa sijafanikiwa kujisajili.......Nifanyaje na siku ndo izo zinakata na tar.24 naenda jeshi
nisaidie wandugu
JITAHID HZ PROCESS KAFANYIE KWENYE KOMPYUTA sehem yoyote ileTZ ukiulza utawakuta wenzako watoto wa wakulima kbao wanajaza sehem fulan penye internet nenda ukiwa unajazia chumban na simu itakugharimu,utakose baadh ya vpengele utashndwa kurekebsha ww utakuwa jesh!