willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,083
- 1,326
nilituma maombi ya mkopo na kila kitu nikaweka halafu leo naambiwa cheti cha kuzaliwa hakipo wakati cheti niliambatanisha wakati natuma..
wewe peleka tu ofisini mwao hamna jinsi..kwa mara nyinginenilituma maombi ya mkopo na kila kitu nikaweka halafu leo naambiwa cheti cha kuzaliwa hakipo wakati cheti niliambatanisha wakati natuma..
We nenda pengine hukubana pamoja.... (Mwenye haja ni weewe so wao hawana shida usipooenda)nilituma maombi ya mkopo na kila kitu nikaweka halafu leo naambiwa cheti cha kuzaliwa hakipo wakati cheti niliambatanisha wakati natuma..
lete ubish tu uone kitakacho kukuta.nilituma maombi ya mkopo na kila kitu nikaweka halafu leo naambiwa cheti cha kuzaliwa hakipo wakati cheti niliambatanisha wakati natuma..
Inaezekana kilikuwa hakina muhuri wa hakimu na sahihinilituma maombi ya mkopo na kila kitu nikaweka halafu leo naambiwa cheti cha kuzaliwa hakipo wakati cheti niliambatanisha wakati natuma..
Inatakiwa uwe na adobe reader au WPS office kisha uki yadownload majina hayo utaweza kuyasoma kupitia haponyie wanandugu hio list mnaiona vipi ?
Hey Mr sijaelewa namna ya kuangalia majina hivi unafanyajeee?nilituma maombi ya mkopo na kila kitu nikaweka halafu leo naambiwa cheti cha kuzaliwa hakipo wakati cheti niliambatanisha wakati natuma..
Plizi transileti am noti stadi withi yu ma nigaLoan applicants who did not attach applicant’s photo, guarantor’s photo (to their application forms) or who attached uncertified photocopies of birth certificates, academic certificates, guarantor’s particulars such as photocopy of Passport or voter’s registration cards; should send the missing particulars with covering letters indicating their full names and form four index numbers with year of completion e.g. S0143.0012.2013 via EMS through the following address:
The Executive Director,
Higher Education Students’ Loans Board,
P. O. Box 76068,
DAR ES SALAAM.
Ingia kwenye website ya bodi ya mikopo: www.heslb.go.tz.nyie wanandugu hio list mnaiona vipi ?
braza tumeponea chupuchupuwewe peleka tu ofisini mwao hamna jinsi..kwa mara nyingine
ukiacha ambao hawakupiga sain yao na ya mdhamin wengine ambao wanadosari tofauti na hizo wanaandika barua wanatuma kwenye hiyo adressPlizi transileti am noti stadi withi yu ma niga
Kwema mwan hao wa sign wanafanyaje!!!!!!ukiacha ambao hawakupiga sain yao na ya mdhamin wengine ambao wanadosari tofauti na hizo wanaandika barua wanatuma kwenye hiyo adress