Bakangana Jpeter
Member
- Dec 8, 2018
- 12
- 1
Message nimepata chuo dar nimetoka mkoa nilitegemea mkopo ntapata ndo niendeshe masomo yangu sababu sina wakunisupport baba asha fariki na wakati wa application niliambatanisha vyeti vyote mapaka sasa sioni ata uafadhali wa chuo sababu sifanya registration ada sina inefanya appeal mpaka sasa amna matokeo yeyote je imefika mwisho wa kuoa majina ya wanufaika wa mikopo?