tax compliant
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 1,211
- 1,195
Hilo ni suala moja, kuandika kwa lugha fasaha ni suala jingine tofauti kabisa. Kweli msomi unayetaka kudahiliwa katika ngazi ya elimu ya juu una makosa yote hayo katika aya moja tu? Huko chuoni unakwenda kufanya nini?Nashukuru kulitambua iloo na kulalama inatokea pale disappointment zinakua nyingi natokea local family nilijitaidi kusoma kwa bidii nikiamini kwamba itafika point home wataneemeka ila katika izi movement za masomo nakutana na mambo magumu ni kama aya yalonikata sasa... mkopo sijapata wakunisomesha asha fariki na registration chuo mpaka sasa sijafanya sababu nimekosa fee naona bora nihairishe mwaka uu mwakani niombe tena nikiwa teari nimejipanga