Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Nyie loans board mnadhìhrisha kabisa kwamba mnadharau kwa vyuo vngne mfano udom.chuo kama udsm tumewekewa bumu la mwisho cku nyingi sana na wala hata hamkutusumbua,lakn vyuo vngne mpaka leo hii watu wameanza kuishi maisha ya dhiki vyuon hamjawapa pesa yoyote kwa kisingzio kwamba mmeishiwa.acheni ujinga bana,wapeni watu pesa zao fasta.