Guevara Jr
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 300
- 811
- Thread starter
- #21
Amina Mtu wa MunguHahahahahaah shukrani sana MUNGU mwema kila wakati
Amina Mtu wa MunguHahahahahaah shukrani sana MUNGU mwema kila wakati
Pambana kijana. Ndoa inahitaji uvumilivu. Kununiana na kutofautiana ni jambo la kawaida. Muhimu tu heshima, kusikilizana, upendo, amani na furaha visitoweke kamwe ndani ya nyumba.Mkuu changamoto tu za hapa na pale plus uzoefu kitaa...Wazee wa wa ndoa za miaka kumi wanahitaji pongezi
Pamoja sana MkuuAsante kwa pongezi mkuu
Ndoa si KwaitoWasalaam Wakuu,
Basi tu nimeamka nawafikiria bros mliooa na mpo kwenye ndoa muda mrefu na ndoa zenu bado zina furaha na amani, heshima kwenu.
Ongezea hongera kwetu sisi mabros ambao tunaishi vyema na wake zetu na tuna mpango wa kuongeza mke wa tatu na wanne. Tupe hongera tena na tena.Wasalaam Wakuu,
Basi tu nimeamka nawafikiria bros mliooa na mpo kwenye ndoa muda mrefu na ndoa zenu bado zina furaha na amani, heshima kwenu.
Huko huko ulipo.Wale wa sogea tuishi tunacoment wapi?
Kuna mwana saikolojia alisema ili haya yawezekane lazima mooja ya wanandoa awe mtumwa au hana akili timamuWasalaam Wakuu,
Bros mlio kwenye ndoa zaidi ya miaka mitano na leo hii mkipiga simu kwa wake zenu, wawe peke yao au kwenye kundi la watu, wanapokea na kusema hello Mume wangu au Baba flani. Na sio kusema halooo habari ya saa hizi, hata kama hamjaongea toka asubuhi....Heshima kubwa kwenu wazee.
1/10.Ndoa zenye heshima zipo nyingi sana.
Ni zile ndoa ambazo mtu alimuoa mke wake halisi.
Sio hizi za kuoana kisa ana utajiri ama kazi nzuri, ama kisa mke ni byuti byuti upate sifa kitaa
1/10.
Kabla ya kuolewa ni malaika baada ya kula mkataba hakuna rangi utaacha kuiona.
Kinacholeta shida sahizi wanataka 50/50 ndo mana wanapata shida sana.
Dada poa wanajitahidi sana kuendelea kuokoa ndoa nyingi.
Kwa sasa kuoa wengi wanawaza mara 100.
Heshima kwenu mabros wa dizain hiiOngezea hongera kwetu sisi mabros ambao tunaishi vyema na wake zetu na tuna mpango wa kuongeza mke wa tatu na wanne. Tupe hongera tena na tena.
Hata wa mwaka mmoja tu mkuu, pongezi inawahusu..Ndoa si lelemamaZamani nilikua naona wazazi wetu ni kawaida tu wako wote mpaka uzeeni
Lakini sasa nmekua acha nikuunge mkono kuwapongeza hata waliofika miaka 5 na bado wako vizuri
Hii taasisi ya ndoa sio mchezo
Joseverest
Amina Mkuu.....Jina la bwana lipewe sifaMaombi, dua na sadaka kwa wengine ndio zinatupa kinga na ulinzi kutoka kwa Mungu kutufichia madhaifu yetu.
Nakubali mkuuKama kila mtu anavyozaliwa kwa wakati wake na ndoa ziko hivyo hivyo. Kikubwa Amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na bila kuwaza vizuri basi labda Mungu akuwekee mkono wake.....Ndoa ni asali na ni mwiba pia1/10.
Kabla ya kuolewa ni malaika baada ya kula mkataba hakuna rangi utaacha kuiona.
Kinacholeta shida sahizi wanataka 50/50 ndo mana wanapata shida sana.
Dada poa wanajitahidi sana kuendelea kuokoa ndoa nyingi.
Kwa sasa kuoa wengi wanawaza mara 100.
Na kutokuwa na akili timamu alikomaanisha sio kutokuwanazo kabisa, bali kuziweka pembeni na kuishi uhalisiakuna mwana saikolojia alisema ili haya yawezekane lazima mooja ya wanandoa awe mtumwa au hana akili timamu