JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,200
Numbers never lie.
Kwa anayefuatilia siasa za Arusha Mjini, atagundua kuwa Mollel ana mtaji wa kura zisizopungua 65,000 (kura alizopata Magufuli jimboni humo. Hizo kura ni za CCM ije mvua au jua.
Licha ya kuwa Lowassa alipata kura zaidi ya 150,000. Nusu ya wapiga kura hao ni washirika wa Mollel (najua unajua ninachokimaanisha).
Mpaka hapo Lema ahesabu maumivu, nyomi anayoiona ni maembe ya kupandikizwa, nje jekundu ndani kijani.
Monaban Atosha Arusha.
Kwa anayefuatilia siasa za Arusha Mjini, atagundua kuwa Mollel ana mtaji wa kura zisizopungua 65,000 (kura alizopata Magufuli jimboni humo. Hizo kura ni za CCM ije mvua au jua.
Licha ya kuwa Lowassa alipata kura zaidi ya 150,000. Nusu ya wapiga kura hao ni washirika wa Mollel (najua unajua ninachokimaanisha).
Mpaka hapo Lema ahesabu maumivu, nyomi anayoiona ni maembe ya kupandikizwa, nje jekundu ndani kijani.
Monaban Atosha Arusha.