mogulnoise
JF-Expert Member
- Oct 28, 2014
- 2,434
- 5,535
Mh Tundu A Lisu nakutakia Heri ya Mwaka Mpya 2018 Mungu amekupigania watanzania tunakuombea
Hakuna mtanzania asiyejua kazi kubwa na iliyotukuka uliyofanya katika ujenzi na ustawi wa Taifa letu
Naamini wapo mamilioni ya watanzania wataungana na mimi kukutakia afya njema na maisha marefu
Kwangu umekuwa chaguo pekee kukutakia heri ya mwaka mpya nimekupa Nobel toka moyoni mwangu
Hakuna mtanzania asiyejua kazi kubwa na iliyotukuka uliyofanya katika ujenzi na ustawi wa Taifa letu
Naamini wapo mamilioni ya watanzania wataungana na mimi kukutakia afya njema na maisha marefu
Kwangu umekuwa chaguo pekee kukutakia heri ya mwaka mpya nimekupa Nobel toka moyoni mwangu