Heri ya mwaka mpya kwa wanajamii

chama

JF-Expert Member
Aug 6, 2010
8,001
2,418
Namshukuru sana Mungu kwa yote aliyonikubalia mwaka huu wa 2013; kubwa zaidi nimemaliza masters salama sio tu nimeongeza cheti bali fikra; kipato na cheo vimeongezeka; wadau wa jamii forum wamekuwa chachandu katika masomo yangu; na graduate mwakani najua wengi hamtakuwepo lakini ndani ya nafsi yangu mtakuwepo; Jamii Forum sio darasa dogo ni pana mithili ya bahari; wakati najiandaa kuanza rasmi majukumu yangu rasmi January 06 2014, itakuwa sio uungwana kama sitawashukuru wanajamii forum; Mamndenyi muhibu wangu hujui ulikuwa unanifariji kiasi gani lakini ni ukweli usiokificho maneno yako yalikuwa yananiliwaza; Bujibuji mtani wangu darasa lako burudani; Bishanga utata wako ni fundisho kwangu; Baba V imenifundisha uzee sio hekima; wakuu Ritz; ZeMarcopolo; CHAMVIGA hekima zenu ni chachandu katika maisha yangu.
Nawatakia wote heri na fanaka ya mwaka mpya wote na wanajamii wote yaliyopita si ndwele tugange yajayo; elimu ni ufunguo wa maisha JAMII FORUM ni darasa litumieni ipasavyo msitumike tu kuandika pumba kwa kuwafurahisha watu litumieni kupanua wigo wa fikra!
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana,
Unaona wenzetu huku tu mnavyotuacha mbali,
Sie tuko na key board mwenzetu uko na darasa;

Hongera sana;
Anapofanikiwa mmoja tunaamini ni mafaniko ya wengi.

Namshukuru sana Mungu kwa yote aliyonikubalia mwaka huu wa 2013; kubwa zaidi nimemaliza masters salama sio tu nimeongeza cheti bali fikra; kipato na cheo vimeongezeka; wadau wa jamii forum wamekuwa chachandu katika masomo yangu; na graduate mwakani najua wengi hamtakuwepo lakini ndani ya nafsi yangu mtakuwepo; Jamii Forum sio darasa dogo ni pana mithili ya bahari; wakati najiandaa kuanza rasmi majukumu yangu rasmi January 06 2014, itakuwa sio uungwana kama sitawashukuru wanajamii forum; Mamndenyi muhibu wangu hujui ulikuwa unanifariji kiasi gani lakini ni ukweli usiokificho maneno yako yalikuwa yananiliwaza; Bujibuji mtani wangu darasa lako burudani; Bishanga utata wako ni fundisho kwangu; Baba V imenifundisha uzee sio hekima; wakuu Ritz; ZeMarcopolo; CHAMVIGA hekima zenu ni chachandu katika maisha yangu.
Nawatakia wote heri na fanaka ya mwaka mpya wote na wanajamii wote yaliyopita si ndwele tugange yajayo; elimu ni ufunguo wa maisha JAMII FORUM ni darasa litumieni ipasavyo msitumike tu kuandika pumba kwa kuwafurahisha watu litumieni kupanua wigo wa fikra!
 
Hongera sana mkuu,najua elimu haina mwisho jiandae tena kwa kusonga mbele kielimu kama nia,uwezo na kuthubutu kupo hivi vyote vikijaaliwa na afya njema.
Nawe pia kheri na fanaka katika mwaka mpya.
 
Ahsante sana na hongera kwa kupiga hatua mungu akuzidishie nguvu upendo na amani katka maisha yako yote pamoja sana mkuu@chama.
 
hongera mkuu na asante kututakia mwaka mpya mwema na wenye baraika hata nawe Mungu akuvushe salama
Namshukuru sana Mungu kwa yote aliyonikubalia mwaka huu wa 2013; kubwa zaidi nimemaliza masters salama sio tu nimeongeza cheti bali fikra; kipato na cheo vimeongezeka; wadau wa jamii forum wamekuwa chachandu katika masomo yangu; na graduate mwakani najua wengi hamtakuwepo lakini ndani ya nafsi yangu mtakuwepo; Jamii Forum sio darasa dogo ni pana mithili ya bahari; wakati najiandaa kuanza rasmi majukumu yangu rasmi January 06 2014, itakuwa sio uungwana kama sitawashukuru wanajamii forum; Mamndenyi muhibu wangu hujui ulikuwa unanifariji kiasi gani lakini ni ukweli usiokificho maneno yako yalikuwa yananiliwaza; Bujibuji mtani wangu darasa lako burudani; Bishanga utata wako ni fundisho kwangu; Baba V imenifundisha uzee sio hekima; wakuu Ritz; ZeMarcopolo; CHAMVIGA hekima zenu ni chachandu katika maisha yangu.
Nawatakia wote heri na fanaka ya mwaka mpya wote na wanajamii wote yaliyopita si ndwele tugange yajayo; elimu ni ufunguo wa maisha JAMII FORUM ni darasa litumieni ipasavyo msitumike tu kuandika pumba kwa kuwafurahisha watu litumieni kupanua wigo wa fikra!
 
Back
Top Bottom