live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 792
- 1,266
Miaka ya nyuma siku kama ya Leo simu yangu huwa inakuwa bize sana na kupokea heri ya mwaka mpya kutoka Kwa michepuko yangu ila hi 2024 imekuwa tofauti sijapokea hata salamu moja
Kuna sms nyingine nilikuwaga nazifuta fasta Ili wife asizione maana zinakuwa zimeja maua na malavidavi ila mwaka huu kimya Sio sms za kwaida Wala Whatsapp Wala Instagram Yani kimya Sasa sijui ndio nakuwa mtu mzima au vipi Yani sijaelewa
Ila haina shida ngoja na Mimi nianze kujichenga taratibu
Kuna sms nyingine nilikuwaga nazifuta fasta Ili wife asizione maana zinakuwa zimeja maua na malavidavi ila mwaka huu kimya Sio sms za kwaida Wala Whatsapp Wala Instagram Yani kimya Sasa sijui ndio nakuwa mtu mzima au vipi Yani sijaelewa
Ila haina shida ngoja na Mimi nianze kujichenga taratibu