Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,067
- 699
Inasikitisha na inauma jinsi wenye mamlaka wanavyojali PESA kiliko roho za watu, jAMANI WATU WANAKUFA, MIFUGO INAKUFA MAJI YA KUNJWA YAMECHAFULIWA HAKUNA ANAYEJALI????NDO NGUVU YA PESA?????
maji yenye kemikali yaliyovuja kutoka kwenye mgodi wa North Mara madhara yake kwa wananchi ni makubwa tena saana, Roho inaniuma jinsi ambavyo hawa wenye mamlaka wanavyolishughulikia hili tatizo, kwa kuwa wenye mgodi wanauhusiano mzri na watawala inaonekana ni halali hao wana tarime waendelee kufa, Reginald Mengi alipokuwa boss wa NEMC walienda Japan wakajionea mdahara ya madini ya zebaki yanayotumika kwenye hiyo migodi aliporudi aliionya serekali hakuna kilichofanyika, sasa hivi roho za wananchi wa tarime zinateketea hakuna anayejali kinachotafutwa ni ushahidi wa kitaalamu wakati hata kwa macho mdhara ya hizo kemikali yanaonekana
Watanzania Wenzangu
Watu wameadhirika wengine wamekufa, mifugo imekufa hakuna anayejali, wawekezaji wanasikilizwa kuliko wananchi, nimeshuhudia kwa macho madhara ya hiyo kemikali INASIKITISHA
TAFAKARI
Hii serekali ipo kwa ajili ya nani????kama dhahabu ni rasilimali Mungu aliyotujalia ni kwanini itumike kutuuwa? wako wapi wanaojiita wanaharakati??
Mlio nje ya Tanzania hamuwezi hata kusaidia ili wamiliki wa huu mgodi washakiwe kwenye mahakama za kimataifa?????
Viongozi wa CCM na serekali yenu mbona mmewasaliti wananchi Hivyo???KUMBUKENI SIKU YA HUKUMU KUANZAI KWA RAISI NA WANAOMZUNGUKA WOTE MTAULIZWA
maji yenye kemikali yaliyovuja kutoka kwenye mgodi wa North Mara madhara yake kwa wananchi ni makubwa tena saana, Roho inaniuma jinsi ambavyo hawa wenye mamlaka wanavyolishughulikia hili tatizo, kwa kuwa wenye mgodi wanauhusiano mzri na watawala inaonekana ni halali hao wana tarime waendelee kufa, Reginald Mengi alipokuwa boss wa NEMC walienda Japan wakajionea mdahara ya madini ya zebaki yanayotumika kwenye hiyo migodi aliporudi aliionya serekali hakuna kilichofanyika, sasa hivi roho za wananchi wa tarime zinateketea hakuna anayejali kinachotafutwa ni ushahidi wa kitaalamu wakati hata kwa macho mdhara ya hizo kemikali yanaonekana
Watanzania Wenzangu
Watu wameadhirika wengine wamekufa, mifugo imekufa hakuna anayejali, wawekezaji wanasikilizwa kuliko wananchi, nimeshuhudia kwa macho madhara ya hiyo kemikali INASIKITISHA
TAFAKARI
Hii serekali ipo kwa ajili ya nani????kama dhahabu ni rasilimali Mungu aliyotujalia ni kwanini itumike kutuuwa? wako wapi wanaojiita wanaharakati??
Mlio nje ya Tanzania hamuwezi hata kusaidia ili wamiliki wa huu mgodi washakiwe kwenye mahakama za kimataifa?????
Viongozi wa CCM na serekali yenu mbona mmewasaliti wananchi Hivyo???KUMBUKENI SIKU YA HUKUMU KUANZAI KWA RAISI NA WANAOMZUNGUKA WOTE MTAULIZWA