Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,760
Ni heri kubwa sana na kila alie Ukawa ni vyema kuifurahia sababu ule mvutano uliokuwa unanyemelea UKAWA umetoweka ghafla ,kila chama kilitaka mtu wake awe mgombea ,sasa kama hapo zamani wakitokea watu wakiwadai wagombea kuwa ni chaguo la mungu naona walikuwa wanatuburuza vibaya sana na wengine kupanda mkenge,
Ila nionavyo kama chaguo la Mungu basi Lowasa inawezekana kabisa kwani mzizi wa fitna umekatika,
Ila nionavyo kama chaguo la Mungu basi Lowasa inawezekana kabisa kwani mzizi wa fitna umekatika,