Here we Go-Mnyika na Nape live ITV

Hapa TZ kuna watu wanasema uongo kwa nia ya kudanganya wengine wasio informed! Kauli mbiu zote hizo ni moja tu ya uongo huo! Lakini cha ajabu kuna watu wanapenda sana kuamini uongo hata kama wanaona kuwa wanadanganywa! Wakati wa uchaguzi ukifika wakipewa kanga au t-sheti na kofia wanasahau kuwa kwa miaka yote wamekuwa wakidanganywa. Kibaya zaidi ni kuwa kuna watu wanapenda kujidanganya kwa kudhani kuwa siku zote hawatakuja kubainika kuwa ni waongo! Wanadhani kuwa watu ni wajinga sikuzote na hawatakuja kuerevuka hata siku moja! Nawapa pole kwani wanadanganya, na wamedanganyika na kisha wanajidanganya!!!!
 
Mnyika, anaulizwa kuhusu katiba anaongelea kuhusu Nyalali, nakwambia huyu kijana kidogo ana matatizo ya Kichwa.

Sasa anaongelea uchumi na ushindani na vyama vya ushirika. Nakwambia hata sielewi anaongelea nini?

J. Shonza unamatatizo ya utindio wa ubongo. Wake up na ujitambue acha kubwata kama mal..yaa
 
Haeleweki mara hii mara kile hata hajijui anataka kusema nini, amezowea kudanganya na Nape alikuwa anamcheki tu jamaa anajigonga mara hiki mara kile. Hayuko sawa yule, nna uhakika.

kaliwe ulale sasa muda umeenda sana.
 
Hivi mnyika atakuwa muongo mpaka lini.

Mpaka wewe na wenzio Magamba mtakapotambua kuwa shida zote hizi zinazowakabili Watz zimesababishwa na Serikali yenu inayoongozwa na mtu mwenye kichwa cha Nazi! Pambaf zenu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…