Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Marekani kila anapotaka kuvamia sehemu mpaka awaalike mashoga zake wa jumuiya ya NATO sasa hapo nani kidume RUSSIA yuko peke yake hawa wako nchi 28 wote wanahangaishwa na nchi moja tu
 
Ha ha ha eti ata akija tz tunmpiga ha ha[emoji3] [emoji1] [emoji3]
 
Marekani kila anapotaka kuvamia sehemu mpaka awaalike mashoga zake wa jumuiya ya NATO sasa hapo nani kidume RUSSIA yuko peke yake hawa wako nchi 28 wote wanahangaishwa na nchi moja tu
Hyo n jumuiya !! Na makubaliano yao huamui kitu bila wenzio kuafiki kama kuna nchi haziafki bas hawafanyi!! Lakin kuwaambia sio ndo kusema anaomba msaada Ila nisheria za NATO
 
Wanajeshi wa marekani hata tukiwapambanisha na jeshi la sungusungu la kule shinyanga hachomoi kwanza ni Mashoga
 
Ni bora ufungwe katika gereza la Russia, kuliko kujiunga na Russia Special Force.

Yote kwa yote Us kwisha kazi, nchi iliyotulivu na raia wake lazima washinde vita, sasa raia wenyewe tushapoteza matumaini na serikali vipi tunaweza kutoa support kwa serikali.
 
Wanajeshi wa marekani hata tukiwapambanisha na jeshi la sungusungu la kule shinyanga hachomoi kwanza ni Mashoga
Kwa hyo kwa kua mashoga hawawezi kuwatandika...EB waulize Libya,Afghanistan,Iraq,somalia,Syria wanajua mashoga wamewafanya nn!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…