Hemed PHD: Napenda wanawake waliofungashia haswaa

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
16,510
28,416
Hemedy-suleiman.jpg


Star wa bongo movie na bongo fleva kutoka Bongo Hemed PHD a.k.a Fernando Papi ametamka wazi kuwa anapenda kutoka kimapenzi na mijimama kuliko wasichana wembamba.

Akizungumza na Enewz Hemedi alisema kuwa yeye hana chaguo la wanawake wembamba na alishajaribu kuwa nao lakini alishindwa na kuwataka aina hiyo ya wanawake kukaa mbali naye.

“Mimi sipendi mwanamke mwembamba napenda mwanamke ambaye amejaaliwa rehma zake na Allah, mwanamke ambaye amejazia na wala si mifupa ”, alisema Hemed.
 
Mimi napenda mademu wembamba ndio ugonjwa wangu, watoto fulani kama Flavian matata au shadeya.

Midude michafu kama Gigy namwachia Hemed.
 
Huyu jamaa ye ninkujisifu tu kihusu wanawake hana maendeleo yoyote makubwa kama bàadhi ya wasanii wenzake ye anapenda misifa tu kwao tanga ukipaona utafikiri si kwa wazazi wa star ye wanawake tu sijui kama hata ana kiwanja au kijibanda japo cha vyumba viwili
 
Back
Top Bottom